Ungemshauri kabisa afanye yale maamuzi ya Kihehe ili aondokane na hizi kadhia.Kwakuwa umetambua madhaifu haya basi usiichague UKAWA na kwakuwa nchi inaendeshwa na ILANI ya chama Tawala imewafanya UKAWA kushindwa kutekeleza majukumu yao hivyo kujiKuta ikiburuzwa na kulazimishwa kufuata ILANI ya chama Tawala.
Hivyo basi kwakuwa kumekuwa na mvutano wa kimaslahi kati ya chama Tawala na UKAWA nakushauri tena usivichague.
Ila ukichagua kimoja wapo kati ya hivyo atakuwa sio mzalendo wakweli bali utakuwa unanjaa inayokusumbua.
Hivi huyu jamaa mwenye vyeti feki hapa dar nae ni UKAWA?Nawasalimia wakuu!!
Mpaka kufikia kuanzisha hii mada naomba nikiri wazi kuwa nimefuatilia kwa kina mijadala unayo endelea kwa sasa hapa nchini.
Nisingependa kuwatoa katika mijadala hiyo lakini pia naomba tuchukue muda kutafakari baadhi ya mambo.
Ikumbukwe kuwa mwaka 2015 ulikuwa na changamoto kubwa ya watu kutaka mabadiliko. Naomba nikiri wazi kuwa mimi ni mmojawapo wa waliotaka mabadiliko na kura zangu zote niliwapa UKAWA, na bahati mbaya kura ya rais ndio ilishindwa.
Baadhi ya vitu nilivyotegemea baada ya UKAWA kuchukua jiji ni kufuatilia kwa kina suala la UDA na zile sarakasi za kituo kikuu cha mabasi yaendayo mikoani.
Badala yake UDA imewashinda na wamekaa kimya, na cha ajabu zaidi tozo kwa wanaosindikiza wanaosafiri pale ubungo imepanda na cha kusikitisha hakuna uboreshwaji wa miundombinu ndani ya stendi (ukitaka kuijua vizuri kadhia hii nenda wakati wa mvua halafu ukute basi linataka kutoka nawe umechelewa utakanyaga matope bila ya kupenda).
Aliyewahi kuwa waziri mkuu enzi za awamu ya nne ndg. Lowassa alipata kusema bungeni kuwa "anashangaa wananchi wanalalamika na viongozi wanalalamika badala ya kuchukua hatua kutatua kero za wananchi"
Hii kauli naiona inatumika kwa hawa madiwani tuliowapa jiji kwani badala ya kuchukua hatua nao wanalalamika kuhujumiwa sasa sisi wananchi wa kawaida tufanye nini?
Nahuzunika kuona meya akitolea matamko suala la vyeti feki na mbaya zaidi anatoa matamko katika mtindo wa mipasho na tuliowengi wetu tunashangilia na kumsifia.
Nashauri ndugu zangu tujifikirie vizuri haya mambo tunayoshabikia na sio bendera kufuata upepo tu.
Kwa upande wangu najutia kura yangu niliyowapa UKAWA.
Nawasalisha.
UkSiamini kama wewe kweli ni mkazi wa Dar.Kawaulize wakazi wa kweli wa Dar watakujuza ukweli wa mambo
tupo wakazi wa dar tena naishi katikati ya jiji. UKAWA NI MZIGO WA CHAWASiamini kama wewe kweli ni mkazi wa Dar.Kawaulize wakazi wa kweli wa Dar watakujuza ukweli wa mambo
Walizigomea halafu Raid akatishia kuzichukua baadae walizikubali siyo???Me ntaichagua tu coz juhud zao naziona kwenye issue ya uda wanafanyiwa mizengwe kibao mubashara, kuna hela walizigomea rais akatishia kuzichukua
Tupia kapicha tuyaone maamuzi ya kiheheUngemshauri kabisa afanye yale maamuzi ya Kihehe ili aondokane na hizi kadhia.
Akina Bashite nyie mnashida sana.ukawa ni wasanii na waganga njaa.waliingia kwa mbwembwe sana,matokeo yake wanatangaza kutoshirikiana na Makonda,hapo nikajua tu wameishiwa
Mpaka sasa wameigome.Serikali si kweli kwamba wamekubaliana na JPM.Walizigomea halafu Raid akatishia kuzichukua baadae walizikubali siyo???
Na ishu ya mgao kwa madiwanini wanaounda jiji wa m3 ilifikia wapi vile???
Ukawa ndio habari ya mujiiiniiiiUko sahihi kabisa mkuu mleta uzi. Hata mimi najuta sana. Na sitathubutu kuyapigia kura tena haya majitu