Naibu Waziri Kihenzile: Sekta Binafsi Nunueni Ndege Mzilete Tanzania

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
2,317
1,110

NAIBU WAZIRI KIHENZILE: SEKTA BINAFSI NUNUENI NDEGE MZILETE TANZANIA

Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile amewataka Wadau wa Sekta binafsi na Wadau wa usafirishaji kwa njia ya anga waliopo ndani na nje ya Nchi kuwekeza katika ununuzi wa ndege ili kuunga mkono jitihada za Serikali za kuboresha usafiri wa anga hapa Nchini.

Mhe. David Kihenzile ametoa kauli hiyo Jijini Tanga July 30,2024 mara baada ya kutembelea kiwanda cha ndege cha Tanga ambacho ni miongoni mwa viwanja vinavyofanyiwa maboresho.

“Ombi letu kama Serikali tunawaomba Sekta binafsi watusaidie kuja kuingia kuwekeza katika Sekta ya anga, nunueni ndege za kutosha kwasababu Air Tanzania peke yake haiwezi kununua ndege kwenye viwanja vyote vilivyopo Nchini” - Mhe. David Kihenzile

Mhe. David Kihenzile Amesema ukarabati na ujenzi wa viwanja vya ndege unaoendelea hapa Nchini utakapokamilika utaongeza idadi ya Wasafiri kwenye Sekta ya anga.
 

Attachments

  • Screenshot 2024-07-31 at 11-19-07 Wasafi FM (@wasafifm) • Instagram photos and videos.png
    Screenshot 2024-07-31 at 11-19-07 Wasafi FM (@wasafifm) • Instagram photos and videos.png
    885 KB · Views: 2
  • Screenshot 2024-07-31 at 11-19-20 Wasafi FM (@wasafifm) • Instagram photos and videos.png
    Screenshot 2024-07-31 at 11-19-20 Wasafi FM (@wasafifm) • Instagram photos and videos.png
    779.4 KB · Views: 2
  • Screenshot 2024-07-31 at 11-19-34 Wasafi FM (@wasafifm) • Instagram photos and videos.png
    Screenshot 2024-07-31 at 11-19-34 Wasafi FM (@wasafifm) • Instagram photos and videos.png
    731.4 KB · Views: 2
  • Screenshot 2024-07-31 at 11-19-48 Wasafi FM (@wasafifm) • Instagram photos and videos.png
    Screenshot 2024-07-31 at 11-19-48 Wasafi FM (@wasafifm) • Instagram photos and videos.png
    880 KB · Views: 2
  • GTreQzrX0AAB_27.jpg
    GTreQzrX0AAB_27.jpg
    371.1 KB · Views: 2
  • GTreQzmXUAAVaZe.jpg
    GTreQzmXUAAVaZe.jpg
    438.6 KB · Views: 2
  • GTreQzrWoAAV8GV.jpg
    GTreQzrWoAAV8GV.jpg
    529.9 KB · Views: 2

NAIBU WAZIRI KIHENZILE: SEKTA BINAFSI NUNUENI NDEGE MZILETE TANZANIA

Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile amewataka Wadau wa Sekta binafsi na Wadau wa usafirishaji kwa njia ya anga waliopo ndani na nje ya Nchi kuwekeza katika ununuzi wa ndege ili kuunga mkono jitihada za Serikali za kuboresha usafiri wa anga hapa Nchini.

Mhe. David Kihenzile ametoa kauli hiyo Jijini Tanga July 30,2024 mara baada ya kutembelea kiwanda cha ndege cha Tanga ambacho ni miongoni mwa viwanja vinavyofanyiwa maboresho.

“Ombi letu kama Serikali tunawaomba Sekta binafsi watusaidie kuja kuingia kuwekeza katika Sekta ya anga, nunueni ndege za kutosha kwasababu Air Tanzania peke yake haiwezi kununua ndege kwenye viwanja vyote vilivyopo Nchini” - Mhe. David Kihenzile

Mhe. David Kihenzile Amesema ukarabati na ujenzi wa viwanja vya ndege unaoendelea hapa Nchini utakapokamilika utaongeza idadi ya Wasafiri kwenye Sekta ya anga.
Wako wapi
Community
Fastjet
540
 
Nilipanda Embraer ya Fastjet kutoka Mwanza kuja Dar mtelezo tu sawa na bei ya Katarama ya sasa. Nilisikitika sana niliposikia kuwa eti Fastjet ilishajifia...mpaka Masha leo hii amekuwa mtu wa kuombewa na manabii na mitume matapeli kama akina Kiboko ya Wachawi ili apate hela.

JPM hakuwa na mchezo ukiingia kwenye anga zake. MO yake ilikuwa ni total annihilation!
 

NAIBU WAZIRI KIHENZILE: SEKTA BINAFSI NUNUENI NDEGE MZILETE TANZANIA

Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile amewataka Wadau wa Sekta binafsi na Wadau wa usafirishaji kwa njia ya anga waliopo ndani na nje ya Nchi kuwekeza katika ununuzi wa ndege ili kuunga mkono jitihada za Serikali za kuboresha usafiri wa anga hapa Nchini.

Mhe. David Kihenzile ametoa kauli hiyo Jijini Tanga July 30,2024 mara baada ya kutembelea kiwanda cha ndege cha Tanga ambacho ni miongoni mwa viwanja vinavyofanyiwa maboresho.

“Ombi letu kama Serikali tunawaomba Sekta binafsi watusaidie kuja kuingia kuwekeza katika Sekta ya anga, nunueni ndege za kutosha kwasababu Air Tanzania peke yake haiwezi kununua ndege kwenye viwanja vyote vilivyopo Nchini” - Mhe. David Kihenzile

Mhe. David Kihenzile Amesema ukarabati na ujenzi wa viwanja vya ndege unaoendelea hapa Nchini utakapokamilika utaongeza idadi ya Wasafiri kwenye Sekta ya anga.
Ili wazifanye kama Fastjet🤣🤣🤣

Za kuambiwa changanya na zako
 
Alichokifanya Jiwe kuiua FastJet ilikuwa dhambi kubwa sana.. Angalau Community Airline ilishindwa yenyewe wakati wa JK.
Plan was kuinua air tanzania, but air tanzania ilikuwa haijasimama, and bado inajikokota
 

NAIBU WAZIRI KIHENZILE: SEKTA BINAFSI NUNUENI NDEGE MZILETE TANZANIA

Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile amewataka Wadau wa Sekta binafsi na Wadau wa usafirishaji kwa njia ya anga waliopo ndani na nje ya Nchi kuwekeza katika ununuzi wa ndege ili kuunga mkono jitihada za Serikali za kuboresha usafiri wa anga hapa Nchini.

Mhe. David Kihenzile ametoa kauli hiyo Jijini Tanga July 30,2024 mara baada ya kutembelea kiwanda cha ndege cha Tanga ambacho ni miongoni mwa viwanja vinavyofanyiwa maboresho.

“Ombi letu kama Serikali tunawaomba Sekta binafsi watusaidie kuja kuingia kuwekeza katika Sekta ya anga, nunueni ndege za kutosha kwasababu Air Tanzania peke yake haiwezi kununua ndege kwenye viwanja vyote vilivyopo Nchini” - Mhe. David Kihenzile

Mhe. David Kihenzile Amesema ukarabati na ujenzi wa viwanja vya ndege unaoendelea hapa Nchini utakapokamilika utaongeza idadi ya Wasafiri kwenye Sekta ya anga.
Walichomfanyia FASTJET na Precisionair (precision kwenye safari za Kigoma) hakuna mtu atataka kuja tena.
 
Plan was kuinua air tanzania, but air tanzania ilikuwa haijasimama, and bado inajikokota
Ile ilikuwa ni ubinafsi na roho mbaya iliyopitiliza. Kiongozi unajua hali ya uchumi wa unaowaongoza, unaenda kuua huduma ambayo walau wengi walikuwa wanaimudu. Sasa hivi wengi kupanda hizo ndege ni ndoto tu, angeacha washindane kama kweli nia ni kusaidia sekta ya usafiri wa anga.
 
Mhe. David Kihenzile ametoa kauli hiyo Jijini Tanga July 30,2024 mara baada ya kutembelea kiwanda cha ndege cha Tanga ambacho ni miongoni mwa viwanja vinavyofanyiwa maboresho.
Hapo kwenye bold you can't be serious.. hizo ndege mtapanda wenyewe. Lbda kama umemanisha kiwanja cha ndege
Malizaneni na umeme wa sgr kwanza.
 
Mhhhh!

Ndio maana hatupati investors wa maana, tunapata wahuni tu ambao wanakuja na karatasi tu mitaji wanapatiana humu humu.
 
Ile ilikuwa ni ubinafsi na roho mbaya iliyopitiliza. Kiongozi unajua hali ya uchumi wa unaowaongoza, unaenda kuua huduma ambayo walau wengi walikuwa wanaimudu. Sasa hivi wengi kupanda hizo ndege ni ndoto tu, angeacha washindane kama kweli nia ni kusaidia sekta ya usafiri wa anga.
As before probably alikuwa na plan nzuri but hakuwa na washauri wazuri, matokeo yake ikaua biashara and probably ajira, lack of vision na proper planning bado ni tatizo kwa nchi yetu
 
As before probably alikuwa na plan nzuri but hakuwa na washauri wazuri, matokeo yake ikaua biashara and probably ajira, lack of vision na proper planning bado ni tatizo kwa nchi yetu
Sina uhakika kama FastJet wataweza kurudi, au kama tutaweza tena kuvutia wawekezaji toka nje watakaotoa huduma kwa gharama ya chini zaidi ya ATCL. Hilo hawatokubali kwani itakuwa ni kuichimbia kaburi ATCL, na mabilioni yetu kuwa yameyeyuka.
 
Sina uhakika kama FastJet wataweza kurudi, au kama tutaweza tena kuvutia wawekezaji toka nje watakaotoa huduma kwa gharama ya chini zaidi ya ATCL. Hilo hawatokubali kwani itakuwa ni kuichimbia kaburi ATCL, na mabilioni yetu kuwa yameyeyuka.
Once ukishamsumbua mwekezaji hawezi rudi kabisa.
We all know vile gov services zina poor track record (si zote lakini), atcl haiwez ku fill gape la fastjet haswa kwa price ile waliokuwa waki provide
 
Back
Top Bottom