Hakikisha una afya ya kutosha maana si mchezo!Habari za usiku JF;
Baada ya chats za muda mrefu, hatimaye naenda kuonana na huyu binti ambaye kwa kweli kwa namna ninavyochati naye naanza kuamini YALIYOMO YAMO.
Nitawaletea updates za safari nzima kutoka Mwanza Mpaka Mtwara. Kesho Naanza safari.
Wakongwe wa kusafiria papuchi nipeni uzoefu wa game za mbali kama hizi, na pia kwa wazoefu wa hawa mabinti wa kimakonde nipeni hits mbili tatu ili nisije kuonekana mshamba, mana nasikia kwa viuno ni balaah!!
Karibuni!!!!
Kwa nini mkuu?Aliyeruhusu tuweke avatar na username fake, kweli anatambua maana ya uhuru!
HapanaMkuu...,
Kwani nayeye ni member humu jf?
Ntakutafuta mkuuMkuu ukifika usisite kunitafta. Nipe namba yako mkuu
ww utakuwa member wa freepark bar>> MTWARA kuubwa sana kama anaishi manispaaaa shukia mnarani utanikuta nalamba BALIMI bariiiiiiiiiiiiiiidi na supu ya KASA >>KARIBU sana
Yupo mtwara manispaa mkuu, nikifika nitakutafuta mkuu>> MTWARA kuubwa sana kama anaishi manispaaaa shukia mnarani utanikuta nalamba BALIMI bariiiiiiiiiiiiiiidi na supu ya KASA >>KARIBU sana
Mkuu huyo sijampata jf, but by the way asante kwa ushauriuna uhakika unaenda kukutana na mwanamke?
ukute namba uliyopewa na mwingine jf unachat na mwingine,kwenye simu unaongea na mwingine unaenda kukutana na mwingine!
pwani uko,mkuu take care!