Njia nzur ni kuwatembekea wafugaji wewe mwenyewe. Pli wasiliana na madali wanaozunguka vijijini, wale wanajua wapi kuna mbegu unayoitaka.
Singida ndi mzalishaji mkuu wa kuku wakubwa wa asili. Hivyo wasiliana na wadau waliosingida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.