Nahitaji kifaa cha kuwasha taa za solar Outomatically

Zekoddo

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
1,856
4,539
Habari Wakuu,,
Kutokana na changamoto ya kukatikakatika umeme huku ninakoishi, Sasa nimeamua kununua solar(Umeme wa Jua).

Hivyo basi, kutokana na shughuli zangu huwa narudi nyakati za usiku home, kuanzia mida ya 1:30 - 2:00 usiku na familia yangu imeindoka kwa muda.

Nahitaji nipate kifaa ambacho kitaruhusu kuwasha taa za solar Outomatically mida ya jioni(kiza kinapoingia) ili kuimarisha usalama/Ulinzi wa nyumbani kwangu.
 
Habari Wakuu,,
Kutokana na changamoto ya kukatikakatika umeme huku ninakoishi, Sasa nimeamua kununua solar(Umeme wa Jua).

Hivyo basi, kutokana na shughuli zangu huwa narudi nyakati za usiku home, kuanzia mida ya 1:30 - 2:00 usiku na familia yangu imeindoka kwa muda.

Nahitaji nipate kifaa ambacho kitaruhusu kuwasha taa za solar Outomatically mida ya jioni(kiza kinapoingia) ili kuimarisha usalama/Ulinzi wa nyumbani kwangu.
Vipo, tena wengine wanasuka tu, kwa kutumia contactor kadhaa, umeme ukikatika, hapo hapa kina-switch to solar.

Pia unatakiwa ununue na photocell ili giza likiingia kinawasha taa.
Au nunua digital timer switch, una-set mda, ukifika kinawasha taa, vipo madukani.
 
Chukua tu taa za photocell, giza likiingia tu zinawaka, zinakuwa na ka solar panel kake
 
Habari Wakuu,,
Kutokana na changamoto ya kukatikakatika umeme huku ninakoishi, Sasa nimeamua kununua solar(Umeme wa Jua).

Hivyo basi, kutokana na shughuli zangu huwa narudi nyakati za usiku home, kuanzia mida ya 1:30 - 2:00 usiku na familia yangu imeindoka kwa muda.

Nahitaji nipate kifaa ambacho kitaruhusu kuwasha taa za solar Outomatically mida ya jioni(kiza kinapoingia) ili kuimarisha usalama/Ulinzi wa nyumbani kwangu.
Ehwaaa!
download (1).jpeg
 
Back
Top Bottom