Nahitaji fremu ya duka kwa maeneo ya Moshi mjini

A man with no name

JF-Expert Member
May 7, 2017
1,134
1,551
Hello, habarini za kutwa wapendwa,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza ninauhitaji na fremu kwa ajili ya duka la kuuzia nguo na viatu kwa Moshi mjini, kama nitapata maeneo ya kuanzia stendi, double road, haya maeneo ya NMB Mandela, na soko la kati nitashukuru zaidi, naomba kama kuna anaefahamu mahali naweza kupata basi anitumie ujumbe mfupi inbox yangu
Natanguliza shukrani zangu, na niwatakie sikuku njema
Asanteni sana
 
karibu
Hello, habarini za kutwa wapendwa,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza ninauhitaji na fremu kwa ajili ya duka la kuuzia nguo na viatu kwa Moshi mjini, kama nitapata maeneo ya kuanzia stendi, double road, haya maeneo ya NMB Mandela, na soko la kati nitashukuru zaidi, naomba kama kuna anaefahamu mahali naweza kupata basi anitumie ujumbe mfupi inbox yangu
Natanguliza shukrani zangu, na niwatakie sikuku njema
Asanteni sana

0672701329...........................mbuyuni zipo 4 . mjini kati zipo mbili ... dar street za kutosh a
 
Mkishampangisha wanaibuka ndugu wengine kudai hawautambui huo Mkataba wa upangishaji. Kwa kifupi mmeshapangana tayari.
mkataba una sainiwa kwa mwenyekiti wa mtaa na mhuri wake unakuwapo.....................sema issue kuna kitu inaitwa kiremba wenye fremu wanaweka kama kishika uchumba.................issue anayo fanya dalali ni kuzuia hiyo...................................mkataba unasainiwa kwa mwenyekiti wa mtaa
 
kuna mtu anaswali lenye utata ?..................if yes kama analo aulize issue ni uaminifu..............kwa fremu za biashara hasa za mjini katikati..........inahitajika uwepo wa mamlaka za sarikali za mitaa.....................yes
 
Back
Top Bottom