johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,715
Hizo nafasi 19 za Wabunge wa Viti Maalum ni stahiki ya Chadema kama chama
Ni vema Mpendwa katika Bwana Rais wa IPU na Spika wa bunge la JMT mh Dr Tulia Mwansasu PhD ukatufanyia wepesi Hili jambo lifike Mwisho lakini siyo kwa uweza Wako bali Mungu wa Mbinguni akusaidie
Nakutakia Happy New Year Dr Tulia PhD
Ni vema Mpendwa katika Bwana Rais wa IPU na Spika wa bunge la JMT mh Dr Tulia Mwansasu PhD ukatufanyia wepesi Hili jambo lifike Mwisho lakini siyo kwa uweza Wako bali Mungu wa Mbinguni akusaidie
Nakutakia Happy New Year Dr Tulia PhD