bongodili tele
JF-Expert Member
- Jun 8, 2024
- 1,521
- 2,935
“Miracles are nothing but ignorance of the true cause of phenomena”.Anaitwa Nabii Jeremiah Jr toka Zambia ndie nabii mdogo kuliko wote kwa sasa mwenye upako akitenda miujiza
Hawa na matendo yao ndio wanaufanya ukristo kuonekana dini ya kitapeli.Anaitwa Nabii Jeremiah Jr toka Zambia ndie nabii mdogo kuliko wote kwa sasa mwenye upako akitenda miujiza
Ukristo unatunza na hizi dini kuu kongwe, ulokole umeletwa kuuwa Ukristo hao ni uzao wa makanisa haya ya uamshoHawa na matendo yao ndio wanaufanya ukristo kuonekana dini ya kitapeli.
Ndugu umeongea point muhimu sana.Hawa na matendo yao ndio wanaufanya ukristo kuonekana dini ya kitapeli.