Nabii Clear Malisa: Amani ya Tanzania isitetereke kisa tamaa au Siasa

Inside10

JF-Expert Member
May 20, 2011
30,671
34,055
Nabii Clear Malisa wa Kanisa la Kingdom Embassy ametoa onyo kwa watumishi wa Mungu, wanasiasa na Wakristo wote nchini kuhusu umuhimu wa kutunza amani ya Tanzania, akisisitiza kuwa amani hiyo haipaswi kutetereka kwa sababu ya tamaa au siasa.

Akizungumza wakati wa Sikukuu ya Pasaka, Nabii Malisa amesema:

“Tukikumbuka siku hii ya Pasaka, miaka zaidi ya 2000 iliyopita Yesu alimwaga damu msalabani kwa ajili yetu na akatambulika kama Mfalme wa Amani. Leo hii hatutakubali kuona watu wakimwaga damu zao ilhali Yesu alishalipa gharama hiyo kwa ajili yetu. Ni upumbavu kufanya hivyo — tutunze amani yetu nchini.”

 
TEC 1
Wajinga Nyie, ndio maana mnasajili Makanisa Uchwara Kila siku ili mradi yanawasifia bila kukemea utekaji, màuaji, uchafuzi wa uchaguzi
Mbona ghafla tu umepaniki! Tulieni dawa iwaingie 💉kenge nyinyi.
Wajinga Nyie, ndio maana mnasajili Makanisa Uchwara Kila siku ili mradi yanawasifia bila kukemea utekaji, màuaji, uchafuzi wa uchaguzi
TEC: Tanzaniann Elects Catholics
 
TEC 1
Wajinga Nyie, ndio maana mnasajili Makanisa Uchwara Kila siku ili mradi yanawasifia bila kukemea utekaji, màuaji, uchafuzi wa uchaguzi
Mbona ghafla tu umepaniki! Tulieni dawa iwaingie 💉kenge nyinyi.
Wajinga Nyie, ndio maana mnasajili Makanisa Uchwara Kila siku ili mradi yanawasifia bila kukemea utekaji, màuaji, uchafuzi wa uchaguzi
TEC: Tanzaniann Elect
Hamfikiu Kitime
Mbona ghafla tu umepaniki! Tulieni dawa iwaingie 💉kenge nyinyi.
 
Kunasiku huyu Malisa alikuwa akihubiri umuhimu wa kusamehe! kijana mmoja akamtania tiktok 'niombee nipate mshangazi'😊...
Nabii alimlaani kijana yule asinye wiki sita na akinya apate kansa!!
Ilinishtua saana jinsi hakusamehe na akalaani vibaya mmno kwakakosa kakijinga😳.
Akatabiri UEFA Barca na Real madrid kufika mbali ajabu kilichofata ni Madrid kuchakazwa na Arsenal nje ndani!!
Kunawatu wanaogopa kuikosoa sirikali maana biashara/huduma zao zitafungiwa. Wahubiri wafundishwe amani ni tunda la haki.
MTZ mmoja akinyimwa haki ni WATZ wote wamenyimwa haki!!
 
Nabii Clear Malisa wa Kanisa la Kingdom Embassy ametoa onyo kwa watumishi wa Mungu, wanasiasa na Wakristo wote nchini kuhusu umuhimu wa kutunza amani ya Tanzania, akisisitiza kuwa amani hiyo haipaswi kutetereka kwa sababu ya tamaa au siasa.

Akizungumza wakati wa Sikukuu ya Pasaka, Nabii Malisa amesema:

“Tukikumbuka siku hii ya Pasaka, miaka zaidi ya 2000 iliyopita Yesu alimwaga damu msalabani kwa ajili yetu na akatambulika kama Mfalme wa Amani. Leo hii hatutakubali kuona watu wakimwaga damu zao ilhali Yesu alishalipa gharama hiyo kwa ajili yetu. Ni upumbavu kufanya hivyo — tutunze amani yetu nchini.”

Huyu mlevi wa konyaji anasema?. Aendelee kutapeli wapumbavu wenzake.
#No reform no election.
 
Nabii Clear Malisa wa Kanisa la Kingdom Embassy ametoa onyo kwa watumishi wa Mungu, wanasiasa na Wakristo wote nchini kuhusu umuhimu wa kutunza amani ya Tanzania, akisisitiza kuwa amani hiyo haipaswi kutetereka kwa sababu ya tamaa au siasa.

Akizungumza wakati wa Sikukuu ya Pasaka, Nabii Malisa amesema:

“Tukikumbuka siku hii ya Pasaka, miaka zaidi ya 2000 iliyopita Yesu alimwaga damu msalabani kwa ajili yetu na akatambulika kama Mfalme wa Amani. Leo hii hatutakubali kuona watu wakimwaga damu zao ilhali Yesu alishalipa gharama hiyo kwa ajili yetu. Ni upumbavu kufanya hivyo — tutunze amani yetu nchini.”


Amani haiwezi kuvunjika sehemu yenye haki
 
Nabii Clear Malisa wa Kanisa la Kingdom Embassy ametoa onyo kwa watumishi wa Mungu, wanasiasa na Wakristo wote nchini kuhusu umuhimu wa kutunza amani ya Tanzania, akisisitiza kuwa amani hiyo haipaswi kutetereka kwa sababu ya tamaa au siasa.

Akizungumza wakati wa Sikukuu ya Pasaka, Nabii Malisa amesema:

“Tukikumbuka siku hii ya Pasaka, miaka zaidi ya 2000 iliyopita Yesu alimwaga damu msalabani kwa ajili yetu na akatambulika kama Mfalme wa Amani. Leo hii hatutakubali kuona watu wakimwaga damu zao ilhali Yesu alishalipa gharama hiyo kwa ajili yetu. Ni upumbavu kufanya hivyo — tutunze amani yetu nchini.”


..Samia ndio anataka kuendelea kumwaga damu za Watanzania kisa madaraka.

..Kuna wapinzani wameshauwawa chini ya utawala huu akiwemo Ally Kibao, Deus Soka, na wengine.

..Tumefika mahali lazima tuseme imetosha. Lazima kufanyike MABADILIKO KABLA YA UCHAGUZI ili tusimwage damu zaidi.
 
Wengi wanapenda kusema juu ya AMANI lkani Neno HAKI no chungu sana mdomoni mwao.
 
Back
Top Bottom