Pre GE2025 Mzee Wasira: CHADEMA wapo honeymoon

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

mama D

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
19,978
35,571
Honeymoon si mnaijua? 😁😁😁

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania Bara Stephen Wasira, amesema Chama na Serikali yake haitakubaliana na azimio lolote litakalotolewa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA baada ya kukutana kwa faragha kama walivyotangaza viongozi wa chama hicho, juzi.

Soma Pia: Wasira: Hoja ya Chadema kutaka Katiba mpya kabla ya uchaguzi mkuu Oktoba 2025 imechelewa

Hapo vipi!!??

Kumeanza kuchangamka mapemaaa

Kweli Ng'ombe hazeeki maini✌️

 
Kikongwe
 

Attachments

  • images (93).jpeg
    images (93).jpeg
    38.2 KB · Views: 2
Honeymoon si mnaijua? 😁😁😁

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania Bara Stephen Wasira, amesema Chama na Serikali yake haitakubaliana na azimio lolote litakalotolewa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA baada ya kukutana kwa faragha kama walivyotangaza viongozi wa chama hicho, juzi.

Soma Pia: Wasira: Hoja ya Chadema kutaka Katiba mpya kabla ya uchaguzi mkuu Oktoba 2025 imechelewa

Hapo vipi!!??

Kumeanza kuchangamka mapemaaa

Kweli Ng'ombe hazeeki maini✌️

Huyu arudishwe Gombe haraka sana
 

Attachments

  • Gorille_des_plaines_de_l'ouest_à_l'Espace_Zoologique.jpg
    Gorille_des_plaines_de_l'ouest_à_l'Espace_Zoologique.jpg
    167.6 KB · Views: 1
Honeymoon si mnaijua? 😁😁😁

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania Bara Stephen Wasira, amesema Chama na Serikali yake haitakubaliana na azimio lolote litakalotolewa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA baada ya kukutana kwa faragha kama walivyotangaza viongozi wa chama hicho, juzi.

Soma Pia: Wasira: Hoja ya Chadema kutaka Katiba mpya kabla ya uchaguzi mkuu Oktoba 2025 imechelewa

Hapo vipi!!??

Kumeanza kuchangamka mapemaaa

Kweli Ng'ombe hazeeki maini✌️

Hili zee halina adabu kabisa liko kama hayawani wa mwituni tu
 
Back
Top Bottom