kwahiyo meva oil chafu?Ndio tabia zenu za kukana ukweli.....Huyu alikuwa kiongozi mkubwa chadema mbna hatujawa sikia CHADEMA wakimvua uanachama???????
LAKINI HII SI BIG DEAL...big deal hapa ni kuwa ARFI katoka UPINZANI KAJA CHAMA BORA CCM.......
WEWE NAE NI LIONGO KWELI......kwahiyo meva oil chafu?
Kwa hiyo leo CCM mmekubali kuwa mmepokea makapi a.k.a oil chafu?Ndio tabia zenu za kukana ukweli.....Huyu alikuwa kiongozi mkubwa chadema mbna hatujawa sikia CHADEMA wakimvua uanachama???????
LAKINI HII SI BIG DEAL...big deal hapa ni kuwa ARFI katoka UPINZANI KAJA CHAMA BORA CCM.......
Mmepokea makapi yenu safi kabisaMapovu ya wana Ufipa yashaanza kumwagika.....!!
Chadema ni tatizo kwa ustawi wa jamii.
Aligombea ubunge kupitia CCM? Seriously? Ubunge kwenye ngazi wa kura za maoni za chama ama ngazi ya kuwakilisha chama?Huyu mtu alishajitoa tanguZitto alipofukuzwa na aligombea ubunge kupitia ccm, ina maana hakuwa mwanachama wao?
Lisikupe shida chadema wamemsajili wema sepetu Wao ccm waacche tu Majembe yao arfi, machali na Dr yared... Ipo siku Nasi tutasajili watu muhimu Kama wanavyofanya ccmWanajamvi!
Amani iwe kwenu!
Naomba kukanusha kuwa Mzee wangu Arfi si mwanachama wa Chedema Tangu mwaka 2014,
Alimfuata Zitto ACT-Wazalendo, Alijivua uongozi wa chadema mara tu baada ya aliyekuwa Naibu katibu mkuu bara wakati huo Mh Zitto Zuberi Kabwe kuvuliwa uongozi ndani ya chama.
Njaa kitu kibaya sana, Kila mtu nilikuwa Chadema kila Mtu Chadema!
Viva Chadema Viva Ukawa
Mbioni Arusha kumchagua Lissu.
Wakitoka upinzani kuja huko ccm hawawi makapi au wauza ngada kama mnavyowaita kwa sasa, ila MTU akihamia tu upinzani mnambambika jina maarufu kwa sasa la muuza ngada!!!!!Haya sasa wametoka upinzani wamekuja huko, jina lao la wauza ngada mmewafutia??Ndio tabia zenu za kukana ukweli.....Huyu alikuwa kiongozi mkubwa chadema mbna hatujawa sikia CHADEMA wakimvua uanachama???????
LAKINI HII SI BIG DEAL...big deal hapa ni kuwa ARFI katoka UPINZANI KAJA CHAMA BORA CCM.......
Arfi alihamia CCM akagombea kwenye kura za maoni akamwagwa!! Akakasirika na kurudi ACT wazalendo!!Aligombea ubunge kupitia CCM? Seriously? Ubunge kwenye ngazi wa kura za maoni za chama ama ngazi ya kuwakilisha chama?