Pre GE2025 Mwl. Mbelwa Petro: CHADEMA wanasadifu harakati za mnyama pimbi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkweliii

Member
Apr 15, 2025
7
4
"CHADEMA wana harakati kama za mnyama pimbi, unawakuta juzi wanaimba NO HATE, NO FEAR!, jana wanaimba JOIN THE CHAIN!, leo wanaimba STRONGER TOGETHER!, kesho utawakuta wanaimba NO REFORM, NO ELECTION!, na bangi za Lema zikikolea kichwani anaanza kuwaimbisha wanachama TONE TONE mara NIMO!

CHADEMA hakuna mkakati unaokamilika na kuleta matokeo, ni chama kinachokosa consistencies katika mikakati, chama kwa sasa kinaendeshwa kwa stimu."

Mwl. Mbelwa Petro, akiwa anapokelewa na Makamu Mwenyekiti CCM Taifa Stephen Wasira, 25 Machi, 2025 mkoani Kagera.
 
"CHADEMA wana harakati kama za mnyama pimbi, unawakuta juzi wanaimba NO HATE, NO FEAR!, jana wanaimba JOIN THE CHAIN!, leo wanaimba STRONGER TOGETHER!, kesho utawakuta wanaimba NO REFORM, NO ELECTION!, na bangi za Lema zikikolea kichwani anaanza kuwaimbisha wanachama TONE TONE mara NIMO!

CHADEMA hakuna mkakati unaokamilika na kuleta matokeo, ni chama kinachokosa consistencies katika mikakati, chama kwa sasa kinaendeshwa kwa stimu."

Mwl. Mbelwa Petro, akiwa anapokelewa na Makamu Mwenyekiti CCM Taifa Stephen Wasira, 25 Machi, 2025 mkoani Kagera.
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala
 

Attachments

  • FB_IMG_1743955210578.jpg
    FB_IMG_1743955210578.jpg
    32.6 KB · Views: 1
"CHADEMA wana harakati kama za mnyama pimbi, unawakuta juzi wanaimba NO HATE, NO FEAR!, jana wanaimba JOIN THE CHAIN!, leo wanaimba STRONGER TOGETHER!, kesho utawakuta wanaimba NO REFORM, NO ELECTION!, na bangi za Lema zikikolea kichwani anaanza kuwaimbisha wanachama TONE TONE mara NIMO!

CHADEMA hakuna mkakati unaokamilika na kuleta matokeo, ni chama kinachokosa consistencies katika mikakati, chama kwa sasa kinaendeshwa kwa stimu."

Mwl. Mbelwa Petro, akiwa anapokelewa na Makamu Mwenyekiti CCM Taifa Stephen Wasira, 25 Machi, 2025 mkoani Kagera.
hajui dunia uyu ,
 
"CHADEMA wana harakati kama za mnyama pimbi, unawakuta juzi wanaimba NO HATE, NO FEAR!, jana wanaimba JOIN THE CHAIN!, leo wanaimba STRONGER TOGETHER!, kesho utawakuta wanaimba NO REFORM, NO ELECTION!, na bangi za Lema zikikolea kichwani anaanza kuwaimbisha wanachama TONE TONE mara NIMO!

CHADEMA hakuna mkakati unaokamilika na kuleta matokeo, ni chama kinachokosa consistencies katika mikakati, chama kwa sasa kinaendeshwa kwa stimu."

Mwl. Mbelwa Petro, akiwa anapokelewa na Makamu Mwenyekiti CCM Taifa Stephen Wasira, 25 Machi, 2025 mkoani Kagera.
Gentleman kwahiyo,
kwa kifupi mwalimu mbelwa ana maanisha Chadema ni mapimbi right?🐒
 
"CHADEMA wana harakati kama za mnyama pimbi, unawakuta juzi wanaimba NO HATE, NO FEAR!, jana wanaimba JOIN THE CHAIN!, leo wanaimba STRONGER TOGETHER!, kesho utawakuta wanaimba NO REFORM, NO ELECTION!, na bangi za Lema zikikolea kichwani anaanza kuwaimbisha wanachama TONE TONE mara NIMO!

CHADEMA hakuna mkakati unaokamilika na kuleta matokeo, ni chama kinachokosa consistencies katika mikakati, chama kwa sasa kinaendeshwa kwa stimu."

Mwl. Mbelwa Petro, akiwa anapokelewa na Makamu Mwenyekiti CCM Taifa Stephen Wasira, 25 Machi, 2025 mkoani Kagera.
Hiyo chadema ya hayo ma-slogans ilikuwa ya yule con artist, msugua santuri.
 
"CHADEMA wana harakati kama za mnyama pimbi, unawakuta juzi wanaimba NO HATE, NO FEAR!, jana wanaimba JOIN THE CHAIN!, leo wanaimba STRONGER TOGETHER!, kesho utawakuta wanaimba NO REFORM, NO ELECTION!, na bangi za Lema zikikolea kichwani anaanza kuwaimbisha wanachama TONE TONE mara NIMO!

CHADEMA hakuna mkakati unaokamilika na kuleta matokeo, ni chama kinachokosa consistencies katika mikakati, chama kwa sasa kinaendeshwa kwa stimu."

Mwl. Mbelwa Petro, akiwa anapokelewa na Makamu Mwenyekiti CCM Taifa Stephen Wasira, 25 Machi, 2025 mkoani Kagera.
Kweli CHADEMA imewashika pabaya sana.. Maana si kwa mipasho hii na hizi multiple IDS
 
Back
Top Bottom