Pre GE2025 Mwenza wa kijani ana jambo lake baada ya uchaguzi mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

mzeekazi_

New Member
Apr 21, 2025
1
5
Tunaelekea uchaguzi mkuu na joto limeishapanda sana kwa sasa. Mtihani ni mkubwa, maswali ni mengi yanataka maelezo marefu huku karatasi ya kujibia kikiwa kipande tu. Huku kuna Azimio la mgombea bila form na huku kuna No Reforms No Election. Huku wengine wakisema wao ni G55 na wengine wakiwakemea waache kuwa waasi na wapinzani wa ndani.

Lakini yote tisa je, mgombea mwenza anawaza nini? Hii nchi ambayo kwa awamu zote kadhaa tumekuwa na makamu marais wazuri lakini hawakuweza kabisa kukipata kijiti cha urais. Kwa mara ya kwanza tumeona historia ikiandika kwa namna nyingine pale ambapo rais alishinda uchaguzi akaunda serikali kisha "AKAFARIKI"
ndipo tukamuona makamu akitamalaki kiti cha uraisi.

Hii inaweza kuwa ni darasa huru na funzo kwa wanawaza wao watapataje. Huyu "Mwenza" ambaye rafu za 2015 alizochezewa Ngoyai zilimfanya atoke nje na kuongea na vyombo vya habari huku akipinga janjajanja aliyofanyiwa "Mzee wake". Baada ya miaka kumi kupita tunashuhudia "Mwenza" akiongoza kikao cha kujichagua kuwa "Mwenza"mbele ya umati bila shida.

Jicho la tai linaona mengi sana hasa yale ambayo mwewe yeye hawezi kuona. Je, tumeamua kuwa na namna nyingine ya kukipata "Kiti"? Kwamba twende tuvuke kisha tumsukume tuingie kirahisi
kama alivyoingia kirahisi. Je, "Maza" anajua hilo draft analocheza "Mwenza"? Ameishajua kuwa anamsaidia mwanaume kuketi vyema? Maana yake tunarudi kushusha bendera tena mwezi wa pili huku "Mwenza" akichekea chooni.

Kwenye mchezo wetu wa "Albastini" mwenza amelamba dume anasubiri Maza aweke jike aolewe na mechi iishe. Mwenza mtulivu huku akiona Oktoba inakaa mbali sana maana anawaza imebaki miezi michache tu afanye yake na kushika usukani.

Maza ukiweza kuelewa hii kitu basi usikubali matuta wala kona. Mwenza ameishachimba shimo refu sana maana anajua huna wa kukushauri.

Akikuponyoka tu kwisha. Kama unaenda naye kwenye mchakato basi mwezi wa pili tuna msiba tu na script imeishaandikwa ikaeje.

#MwenzaOyeeeeeee😂😂
 
We nawe!!?
Mnataka kumuingiza kingi mwenyekiti achague mwingine tena!!?

Kwasasa haieleweki nani mkweli nani muongo yaani mambo yanachanganya sana!

Unayoyawaza ya mwezi wa pili yakitokea kabla mchawi atakua nani!!?wewe au mwenza!!?
 
Tunaelekea uchaguzi mkuu na joto limeishapanda sana kwa sasa. Mtihani ni mkubwa, maswali ni mengi yanataka maelezo marefu huku karatasi ya kujibia kikiwa kipande tu. Huku kuna Azimio la mgombea bila form na huku kuna No Reforms No Election. Huku wengine wakisema wao ni G55 na wengine wakiwakemea waache kuwa waasi na wapinzani wa ndani.

Lakini yote tisa je, mgombea mwenza anawaza nini? Hii nchi ambayo kwa awamu zote kadhaa tumekuwa na makamu marais wazuri lakini hawakuweza kabisa kukipata kijiti cha urais. Kwa mara ya kwanza tumeona historia ikiandika kwa namna nyingine pale ambapo rais alishinda uchaguzi akaunda serikali kisha "AKAFARIKI"
ndipo tukamuona makamu akitamalaki kiti cha uraisi.

Hii inaweza kuwa ni darasa huru na funzo kwa wanawaza wao watapataje. Huyu "Mwenza" ambaye rafu za 2015 alizochezewa Ngoyai zilimfanya atoke nje na kuongea na vyombo vya habari huku akipinga janjajanja aliyofanyiwa "Mzee wake". Baada ya miaka kumi kupita tunashuhudia "Mwenza" akiongoza kikao cha kujichagua kuwa "Mwenza"mbele ya umati bila shida.

Jicho la tai linaona mengi sana hasa yale ambayo mwewe yeye hawezi kuona. Je, tumeamua kuwa na namna nyingine ya kukipata "Kiti"? Kwamba twende tuvuke kisha tumsukume tuingie kirahisi
kama alivyoingia kirahisi. Je, "Maza" anajua hilo draft analocheza "Mwenza"? Ameishajua kuwa anamsaidia mwanaume kuketi vyema? Maana yake tunarudi kushusha bendera tena mwezi wa pili huku "Mwenza" akichekea chooni.

Kwenye mchezo wetu wa "Albastini" mwenza amelamba dume anasubiri Maza aweke jike aolewe na mechi iishe. Mwenza mtulivu huku akiona Oktoba inakaa mbali sana maana anawaza imebaki miezi michache tu afanye yake na kushika usukani.

Maza ukiweza kuelewa hii kitu basi usikubali matuta wala kona. Mwenza ameishachimba shimo refu sana maana anajua huna wa kukushauri.

Akikuponyoka tu kwisha. Kama unaenda naye kwenye mchakato basi mwezi wa pili tuna msiba tu na script imeishaandikwa ikaeje.

#MwenzaOyeeeeeee😂😂
Karma is real.
 
Tunaelekea uchaguzi mkuu na joto limeishapanda sana kwa sasa. Mtihani ni mkubwa, maswali ni mengi yanataka maelezo marefu huku karatasi ya kujibia kikiwa kipande tu. Huku kuna Azimio la mgombea bila form na huku kuna No Reforms No Election. Huku wengine wakisema wao ni G55 na wengine wakiwakemea waache kuwa waasi na wapinzani wa ndani.

Lakini yote tisa je, mgombea mwenza anawaza nini? Hii nchi ambayo kwa awamu zote kadhaa tumekuwa na makamu marais wazuri lakini hawakuweza kabisa kukipata kijiti cha urais. Kwa mara ya kwanza tumeona historia ikiandika kwa namna nyingine pale ambapo rais alishinda uchaguzi akaunda serikali kisha "AKAFARIKI"
ndipo tukamuona makamu akitamalaki kiti cha uraisi.

Hii inaweza kuwa ni darasa huru na funzo kwa wanawaza wao watapataje. Huyu "Mwenza" ambaye rafu za 2015 alizochezewa Ngoyai zilimfanya atoke nje na kuongea na vyombo vya habari huku akipinga janjajanja aliyofanyiwa "Mzee wake". Baada ya miaka kumi kupita tunashuhudia "Mwenza" akiongoza kikao cha kujichagua kuwa "Mwenza"mbele ya umati bila shida.

Jicho la tai linaona mengi sana hasa yale ambayo mwewe yeye hawezi kuona. Je, tumeamua kuwa na namna nyingine ya kukipata "Kiti"? Kwamba twende tuvuke kisha tumsukume tuingie kirahisi
kama alivyoingia kirahisi. Je, "Maza" anajua hilo draft analocheza "Mwenza"? Ameishajua kuwa anamsaidia mwanaume kuketi vyema? Maana yake tunarudi kushusha bendera tena mwezi wa pili huku "Mwenza" akichekea chooni.

Kwenye mchezo wetu wa "Albastini" mwenza amelamba dume anasubiri Maza aweke jike aolewe na mechi iishe. Mwenza mtulivu huku akiona Oktoba inakaa mbali sana maana anawaza imebaki miezi michache tu afanye yake na kushika usukani.

Maza ukiweza kuelewa hii kitu basi usikubali matuta wala kona. Mwenza ameishachimba shimo refu sana maana anajua huna wa kukushauri.

Akikuponyoka tu kwisha. Kama unaenda naye kwenye mchakato basi mwezi wa pili tuna msiba tu na script imeishaandikwa ikaeje.

#MwenzaOyeeeeeee😂😂
Kwanza anajiona keshawakuwa Makamu wa Rais.

Huyo ndo anaongoza kundi la kulazimisha Uchaguzi lazima ufanyike kwa sababu anajiona ni Makamu Rais ajaye na Rais 2030.

Hataki Mabadiliko ya Katiba na hadi DGIS kamweka mtu waliyefanya nae kazi Brazil ili nae alazimishe uchaguzi ufanyike na wale vizuri
 
Kwanza anajiona keshawakuwa Makamu wa Rais.

Huyo ndo anaongoza kundi la kulazimisha Uchaguzi lazima ufanyike kwa sababu anajiona ni Makamu Rais ajaye na Rais 2030.

Hataki Mabadiliko ya Katiba na hadi DGIS kamweka mtu waliyefanya nae kazi Brazil ili nae alazimishe uchaguzi ufanyike na wale vizuri
Na ulinzi wake hivi sasa umeimarishwa sana yaani anajiona tayari amesha win.
 
Na ulinzi wake hivi sasa umeimarishwa sana yaani anajiona tayari amesha win.
Saivi DGIS kamwekea ulinzi na anamwangalia kuliko anavomwangalia Amiri Jeshi Mkuu wake.

Kwa kifupi huyu mwenza ndo anayeongoza nchi saivi na ndo anayeendesha hizi siasa za kimafia. Usishangae unyanyasaji wa Wapinzani unaoendelea kule nyumbani Ruvuma.

Saivi hata Wabunge wa kule kina Ndumbaro na Muhagama washajiona wao ndo wenye nchi saivi.
 
Jicho la tai linaona mengi sana hasa yale ambayo mwewe yeye hawezi kuona. Je, tumeamua kuwa na namna nyingine ya kukipata "Kiti"? Kwamba twende tuvuke kisha tumsukume tuingie kirahisi
kama alivyoingia kirahisi. Je, "Maza" anajua hilo draft analocheza "Mwenza"? Ameishajua kuwa anamsaidia mwanaume kuketi vyema? Maana yake tunarudi kushusha bendera tena mwezi wa pili huku "Mwenza" akichekea chooni.
Lisemwalo lipo kama halipo laja, watunga sheria wapo kwenye usiku wa manane, je yule mropokaji wa kijani aliyetolewa kwa red card akiwa anakula samaki na kisha kurejeshwa tena akale samaki alizibwa mdomo ili asitoboe bakuli?

Msikilizeni HAPA
 
Kwanza anajiona keshawakuwa Makamu wa Rais.

Huyo ndo anaongoza kundi la kulazimisha Uchaguzi lazima ufanyike kwa sababu anajiona ni Makamu Rais ajaye na Rais 2030.

Hataki Mabadiliko ya Katiba na hadi DGIS kamweka mtu waliyefanya nae kazi Brazil ili nae alazimishe uchaguzi ufanyike na wale vizuri
Nimeanza kupata picha ya kiini cha tatizo la mtanziko wa kisiasa uliopo nchini kwa sasa.
 
Tunaelekea uchaguzi mkuu na joto limeishapanda sana kwa sasa. Mtihani ni mkubwa, maswali ni mengi yanataka maelezo marefu huku karatasi ya kujibia kikiwa kipande tu. Huku kuna Azimio la mgombea bila form na huku kuna No Reforms No Election. Huku wengine wakisema wao ni G55 na wengine wakiwakemea waache kuwa waasi na wapinzani wa ndani.

Lakini yote tisa je, mgombea mwenza anawaza nini? Hii nchi ambayo kwa awamu zote kadhaa tumekuwa na makamu marais wazuri lakini hawakuweza kabisa kukipata kijiti cha urais. Kwa mara ya kwanza tumeona historia ikiandika kwa namna nyingine pale ambapo rais alishinda uchaguzi akaunda serikali kisha "AKAFARIKI"
ndipo tukamuona makamu akitamalaki kiti cha uraisi.

Hii inaweza kuwa ni darasa huru na funzo kwa wanawaza wao watapataje. Huyu "Mwenza" ambaye rafu za 2015 alizochezewa Ngoyai zilimfanya atoke nje na kuongea na vyombo vya habari huku akipinga janjajanja aliyofanyiwa "Mzee wake". Baada ya miaka kumi kupita tunashuhudia "Mwenza" akiongoza kikao cha kujichagua kuwa "Mwenza"mbele ya umati bila shida.

Jicho la tai linaona mengi sana hasa yale ambayo mwewe yeye hawezi kuona. Je, tumeamua kuwa na namna nyingine ya kukipata "Kiti"? Kwamba twende tuvuke kisha tumsukume tuingie kirahisi
kama alivyoingia kirahisi. Je, "Maza" anajua hilo draft analocheza "Mwenza"? Ameishajua kuwa anamsaidia mwanaume kuketi vyema? Maana yake tunarudi kushusha bendera tena mwezi wa pili huku "Mwenza" akichekea chooni.

Kwenye mchezo wetu wa "Albastini" mwenza amelamba dume anasubiri Maza aweke jike aolewe na mechi iishe. Mwenza mtulivu huku akiona Oktoba inakaa mbali sana maana anawaza imebaki miezi michache tu afanye yake na kushika usukani.

Maza ukiweza kuelewa hii kitu basi usikubali matuta wala kona. Mwenza ameishachimba shimo refu sana maana anajua huna wa kukushauri.

Akikuponyoka tu kwisha. Kama unaenda naye kwenye mchakato basi mwezi wa pili tuna msiba tu na script imeishaandikwa ikaeje.

#MwenzaOyeeeeeee😂😂
Duh 🙄 !
Ramli hizi 😳 !!!!
Sio poa sana !!
 
Back
Top Bottom