Kuelekea 2025 Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa aendelea kukomboa Majimbo yaliyoporwa 2020, Sasa ni zamu ya Mafinga

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
124,213
235,658
Dunia nzima ikiwa ni pamoja na viongozi kadhaa wastaafu wa Nchi hii, akiwemo Mzee Warioba na Kinana wanafahamu kwamba CCM haikushinda Uchaguzi wa 2020, Iwe kwenye Urais wala Ubunge na Udiwani kwa Tanganyika na Zanzibar. Huko Zanzibar 2020 ndio Mwaka unaotajwa kuongoza kwa Mauaji ya wapinzani wa Pemba na Unguja, zipo tetesi kwamba kulikuwa na Majeshi ya kukodi kutoka Nchi Jirani ili kuteketeza waliomuunga mkono Maalim Seif.

Ingekuwa Nchi zenye kufuata misingi ya Haki, Viongozi wengi wa Tanzania walio hai leo, akiwemo Dkt. Mahera wangekamatwa na kufungwa jela kwa vifungo virefu huku wengine wakinyongelewa mbali kutokana na ushiriki wao kwenye uharibifu wa Uchaguzi ule.

Hata hivyo Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi ameanza kukomboa Majimbo hayo na tayari taarifa zinaeleza kwamba Majimbo 20 kwenye Kanda hiyo yenye jumla ya Majimbo 31 yamekombolewa, huku yaliyobaki yanaendelea kupiganiwa kwa udi na uvumba

Hili hapa ni Jimbo la Mafinga Mjini, ambako Bilionea William Mungai aliporwa Ushindi wake kwa Mtutu wa Bunduki

Maandalizi ya Mkutano huu yamefanyika kwa muda wa Nusu saa tu .

Screenshot_2024-07-13-20-00-03-1.png
Screenshot_2024-07-13-20-00-16-1.png
Screenshot_2024-07-13-19-59-52-1.png
 
Dunia nzima ikiwa ni pamoja na viongozi kadhaa wastaafu wa Nchi hii, akiwemo Mzee Warioba na Kinana wanafahamu kwamba CCM haikushinda Uchaguzi wa 2020, Iwe kwenye Urais wala Ubunge na Udiwani kwa Tanganyika na Zanzibar. Huko Zanzibar 2020 ndio Mwaka unaotajwa kuongoza kwa Mauaji ya wapinzani wa Pemba na Unguja, zipo tetesi kwamba kulikuwa na Majeshi ya kukodi kutoka Nchi Jirani ili kuteketeza waliomuunga mkono Maalim Seif.

Ingekuwa Nchi zenye kufuata misingi ya Haki, Viongozi wengi wa Tanzania walio hai leo, akiwemo Dkt. Mahera wangekamatwa na kufungwa jela kwa vifungo virefu huku wengine wakinyongelewa mbali kutokana na ushiriki wao kwenye uharibifu wa Uchaguzi ule.

Hata hivyo Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi ameanza kukomboa Majimbo hayo na tayari taarifa zinaeleza kwamba Majimbo 20 kwenye Kanda hiyo yenye jumla ya Majimbo 31 yamekombolewa, huku yaliyobaki yanaendelea kupiganiwa kwa udi na uvumba

Hili hapa ni Jimbo la Mafinga Mjini, ambako Bilionea William Mungai aliporwa Ushindi wake kwa Mtutu wa Bunduki

Maandalizi ya Mkutano huu yamefanyika kwa muda wa Nusu saa tu .

View attachment 3041660View attachment 3041661View attachment 3041662
Mwashambwa wa CHADEMA vs Mwashambwa wa CCM
 
Usilie sasa kijana, ndio kwanza tumeanza, wewe mwenyewe babaako alikuwa mchawi unataka tukuhukumu kwa uchawi wa babaako?
Nakuapia ndugu mwashambwa wa chadema hapa wilayani chama cha wachaga hakiji kupata ubunge mfano mufindi kusini mlimweka titho kitalika dhidi ya kihenzile mlichekesha kweli, kule kaskazini eti masonda dhidi ya kigahe na hapa mjini umedanganya kuwa wile alipokonywa kwa mtutu si kweli alishindwa kura za maoni za ndani dhidi ya wakili kihwelo hebu weka kumbukumbu zako vizuri
 
Nakuapia ndugu mwashambwa wa chadema hapa wilayani chama cha wachaga hakiji kupata ubunge mfano mufindi kusini mlimweka titho kitalika dhidi ya kihenzile mlichekesha kweli, kule kaskazini eti masonda dhidi ya kigahe na hapa mjini umedanganya kuwa wile alipokonywa kwa mtutu si kweli alishindwa kura za maoni za ndani dhidi ya wakili kihwelo hebu weka kumbukumbu zako vizuri
Ukishaanza kuleta ukabila utaratibu wetu ni kukudharau na kuku ignore, maana ni dhahiri wewe ni mjinga
 
Back
Top Bottom