VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,137
- 17,908
Mwenyekiti wa CCM Taifa,Jakaya Kikwete unapaswa kufanya siasa. Unapaswa kuendelea kuwa Mwenyekiti hadi mwisho wa kipindi chako mwaka 2017. Mwaka huo,tutakusanyika hapa Dodoma kumchagua Mwenyekiti mwingine.
Rais Magufuli,tawala. Weka nchi sawa. Inyooshe. Jenga nidhamu kwenye utumishi;kusanya mapato na zuia wizi na ufisadi. Kwa kauli na matendo yako,hupendi siasa. Hutaki siasa. Vyema ukatawala na kuacha siasa kwa wanasiasa.
Mwenyekiti Kikwete,usimpe Rais uenyekiti wa chama hapo Julai 23. Mwache atawale!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Nasikia mmekatiwa posho ni kweli mkuu?Dodoma ya ndotoni...keep on dreaming...
unamawazo mgando kama mafuta ya baby care,sidhani kama umefikiri vema na kugusa kila pahala,umekurupuka kufikiri siyo?jipange tena unaweza kuandika andiko zuri zaidi ya hili,kwani hili halijashiba inavyotakiwaKosa analofanya Magufuli, washauri na washabiki wake ni kudhani kuwa rais kunaenda sambamba na kuwa na nguvu za rais.
Magufuli amekuwa rais lakini amejitanabaisha kuwa maji na mafuta na upinzani na hii pekee inapunguza wigo wa nguvu za urais wake.
Ule wimbo wa kuwa na imani na Lowasa uliimbwa na walio wengi ndani ya chama.
Hawa ni watu wenye ushawishi na wapo mpaka leo na hawajawahi kumkubali Magufuli.
Ukichanganya na bajeti inayowanyonya wanyonge, sera na kauli zenye utata, ni vigumu kujua ni kundi lipi hasa linamuunga mkono Magufuli.
Labda watumishi wa umma? Jibu ni NO.
Labda ni wanafunzi wa vyuo? Jibu ni NO.
Labda ni wafanyabiashara na matajiri? Jibu ni NO.
Labda ni masikini wanaovunjiwa nyumba, walioshindwa kunywa chai, na waliogeuzwa chanzo cha kipato kwenye bajeti? Jibu ni NO.
Ni karibu kama kusema mfalme asiye na ufalme!!
Katika uongozi kipimo hicho kinaonyesha si mnafiki hivyo ni kiongozi mzuriKosa analofanya Magufuli, washauri na washabiki wake ni kudhani kuwa rais kunaenda sambamba na kuwa na nguvu za rais.
Magufuli amekuwa rais lakini amejitanabaisha kuwa maji na mafuta na upinzani na hii pekee inapunguza wigo wa nguvu za urais wake.
Ule wimbo wa kuwa na imani na Lowasa uliimbwa na walio wengi ndani ya chama.
Hawa ni watu wenye ushawishi na wapo mpaka leo na hawajawahi kumkubali Magufuli.
Ukichanganya na bajeti inayowanyonya wanyonge, sera na kauli zenye utata, ni vigumu kujua ni kundi lipi hasa linamuunga mkono Magufuli.
Labda watumishi wa umma? Jibu ni NO.
Labda ni wanafunzi wa vyuo? Jibu ni NO.
Labda ni wafanyabiashara na matajiri? Jibu ni NO.
Labda ni masikini wanaovunjiwa nyumba, walioshindwa kunywa chai, na waliogeuzwa chanzo cha kipato kwenye bajeti? Jibu ni NO.
Ni karibu kama kusema mfalme asiye na ufalme!!
Mkuu toka mmepunguziwa posho unaingia jamvini kwa nadra sana.Twende zetu magufuli wala usiangalie pembeni hakuna kutishwa wataisoma tu.
majizi ya ccm ndo yanaisoma nambaTwende zetu magufuli wala usiangalie pembeni hakuna kutishwa wataisoma tu.
wenzako washaisoma sana, useme tutaisoma maana tunaishoma wote, maccm mafisadi nao wanaisoma tuTwende zetu magufuli wala usiangalie pembeni hakuna kutishwa wataisoma tu.
Kosa analofanya Magufuli, washauri na washabiki wake ni kudhani kuwa rais kunaenda sambamba na kuwa na nguvu za rais.
Magufuli amekuwa rais lakini amejitanabaisha kuwa maji na mafuta na upinzani na hii pekee inapunguza wigo wa nguvu za urais wake.
Ule wimbo wa kuwa na imani na Lowasa uliimbwa na walio wengi ndani ya chama.
Hawa ni watu wenye ushawishi na wapo mpaka leo na hawajawahi kumkubali Magufuli.
Ukichanganya na bajeti inayowanyonya wanyonge, sera na kauli zenye utata, ni vigumu kujua ni kundi lipi hasa linamuunga mkono Magufuli.
Labda watumishi wa umma? Jibu ni NO.
Labda ni wanafunzi wa vyuo? Jibu ni NO.
Labda ni wafanyabiashara na matajiri? Jibu ni NO.
Labda ni masikini wanaovunjiwa nyumba, walioshindwa kunywa chai, na waliogeuzwa chanzo cha kipato kwenye bajeti? Jibu ni NO.
Ni karibu kama kusema mfalme asiye na ufalme!!