Mwenye uelewa na TIC (Tanzania Investment Centre) ni kamilishe usajili wa kiwanda

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
9,387
20,122
Baada ya kumaliza process zote za mashine toka nje na kila kitu.Nimepata wazo ambalo linaweza kunijengea mapema ili kujua TIC taratibu kama muwekezaji wa ndani.

Swala la kupewa eneo kwa ajili ya uwekezaji eneo la kiwanda teyari na kila kitu.

Naitaji kujua TIC itanisaidia vipi maana wengine sio sehemu yetu kubwa zaidi ya forex.
 
Mtu anauliza TIC watu wanajibu habari za machine sijui zimefanya nini mara machine za nafaka. Mkuu mimi sifahamu ila kwa kuanzia unaweza pita kwenye web yao ambayo ni TIC | Home au ukatembelea ofisi zao za kanda kulingana na kanda uliyopo.
 
Mtu anauliza TIC watu wanajibu habari za machine sijui zimefanya nini mara machine za nafaka. Mkuu mimi sifahamu ila kwa kuanzia unaweza pita kwenye web yao ambayo ni TIC | Home au ukatembelea ofisi zao za kanda kulingana na kanda uliyopo.
Asante ndugu kwa ili Nimetaka kupata muongozo maana mwenye mashine ni mimi ambazo zinaweza kuzalisha tani kwa saa na ni siri yangu.Mkurugenzi wa mkoa kasha nipa eneo.
 
Baada ya kumaliza process zote za mashine toka nje na kila kitu.Nimepata wazo ambalo linaweza kunijengea mapema ili kujua TIC taratibu kama muwekezaji wa ndani.

Swala la kupewa eneo kwa ajili ya uwekezaji eneo la kiwanda teyari na kila kitu.

Naitaji kujua TIC itanisaidia vipi maana wengine sio sehemu yetu kubwa zaidi ya forex.
Naomba kazi mkuu
 
Baada ya kumaliza process zote za mashine toka nje na kila kitu.Nimepata wazo ambalo linaweza kunijengea mapema ili kujua TIC taratibu kama muwekezaji wa ndani.

Swala la kupewa eneo kwa ajili ya uwekezaji eneo la kiwanda teyari na kila kitu.

Naitaji kujua TIC itanisaidia vipi maana wengine sio sehemu yetu kubwa zaidi ya forex.
Kongole sana kwa hatua uliyofikia na Mungu akubariki.
Ukianza uzalishaji, karibu sana TCCIA.
 
Back
Top Bottom