Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
2,317
1,110
Mwenge wa Uhuru 2024 umewasili Mkoani Njombe, na Mkuu wa Mkoa wa Njombe Anthony Mtaka amemkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Victoria Mwanziva- Mwenge wa Uhuru kukimbizwa Wilayani Ludewa

Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kukimbizwa kwa Umbali wa Kilometa 93 Wilayani Ludewa; ukipitia Miradi 7 yenye thamani ya Jumla ya Tsh 8,721,001,010.35

Miradi hii ya Maendeleo ni miradi ya Sekta za Afya, Maji, Elimu, Miundombinu- Mazingira.

Kaulimbiu ya Mwenge wa Uhuru 2024:

“Tunza mazingira na Shiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Ujenzi wa Taifa Endelevu”

Tarehe 16/06/2024

WhatsApp Image 2024-06-16 at 18.03.32(1).jpeg
WhatsApp Image 2024-06-16 at 18.03.32.jpeg
WhatsApp Image 2024-06-16 at 18.03.31(2).jpeg
WhatsApp Image 2024-06-16 at 18.03.31(1).jpeg
WhatsApp Image 2024-06-16 at 18.03.31.jpeg

 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-06-16 at 18.03.30.jpeg
    WhatsApp Image 2024-06-16 at 18.03.30.jpeg
    93.5 KB · Views: 1
Bado unazungushwa kumbe...


Cc: Mahondaw

Mwenge wa uhuru unapaswa uwe unakimbizwa kila baada ya miaka miwili hii itasaidia kupunguza gharama nyngi znazotumika kuzungusha mwenge huo nchi nzima, pia viongoz wa wilaya wanapoteza muda mwingi wa vikao kwaajiri ya mwenge huo

kuwepo na ofisi au idara maalum ya kushughurika na mwenge hii itasaidia kuweka kumbukumbu za taarifa na uratibu wa shughuri za mwenge wa huru
 
Bado huo ushirikina unazungushwa hapa nchini?!
Mwenge au mateso? Nasikia watu wanachangishwa michango kwa vitisho. Watumishi wasio viongozi wa taasisi kama walimu na maneai kila mmoja sh.5000. Watumishi viongozi walimu wakuu @sh 20,000 na wakuu wa shule za sekondari @sh50,000.

Yanini kufanya jambo ambalo serikali haiwwzi kugharimia na kuwatwisha mzigo wananchi?

Mishahara yenyewe njiwa,. Kodi za mishahara hiyo iko juu, halafu bado kutozwa mchango, tena hauna hata risiti na haijulikani mapato na matumizi hutathiminiwa vipi.

Huu ni wizi ambao chama cha mapinduzi hujifanya kukemea lakini ndo hao hao wanatupora.
 
Ndugu mtoa mada; unaripoti kutokea pande zipi za Ludewa?

Ni Lusitu, Madope, Mbwila, Milo, Lupingu, Madilu, Ilininda, Mapogoro, Ludende, Amani, Ludewa mjini au Manda?
 
Back
Top Bottom