Sasa si umtaje huyo mwandishi! Au na wewe unaogopwa kuteswa?Hii habari imenisikitisha sana
Kuna mwanafamilia mmoja wa Mwandishi huyo alisoma nae Tambaza anasema Mwandishi huyo maarufu humu JF aliteswa sana baada ya yale maswali.
Ilifika mahali alitamani kurudi kijijini na kama sio uhusiano wake na Rais Mkapa mambo yangekuwa mengine
Hii ni kwenye mjadala wa Kitabu maarufu chenye siri za kutosha za utawala wa awamu ya Tano CH
Pole sana mkuu, you have my respect on...
Kuna watanzania huwa wanapitia magumu kimya kimya kiuhalisia ila tunaishia kuwabeza humu ..
Narudia tena, pole sana kiongozi, una heshima yangu ya kutosha .. ikikuoendeza utasema siku ikifika.
la shaka paschal mayala na nilihisi tu lazima alipata mkong'otoNaogopa sana mkuu...
We huogopi?
Yani yale ni maswali ya kutesa mtu kweli
Yule chawa wa mbowe?Au unamsemea yule mwandishi anaetumia jina la baba wa taifa pale mwishoni
Pasi shokaga kaya, Iyala lashilaga, Pasi Shokaga Kaya, Iyala lashilagaHii habari imenisikitisha sana
Kuna mwanafamilia mmoja wa Mwandishi huyo alisoma nae Tambaza anasema Mwandishi huyo maarufu humu JF aliteswa sana baada ya yale maswali.
Ilifika mahali alitamani kurudi kijijini na kama sio uhusiano wake na Rais Mkapa mambo yangekuwa mengine
Hii ni kwenye mjadala wa Kitabu maarufu chenye siri za kutosha za utawala wa awamu ya Tano CH
Pole sana mkuu, you have my respect on...
Kuna watanzania huwa wanapitia magumu kimya kimya kiuhalisia ila tunaishia kuwabeza humu ..
Narudia tena, pole sana kiongozi, una heshima yangu ya kutosha .. ikikuoendeza utasema siku ikifika.
Pascal Mayalla alikuwa ametakata sana kabla ya figisu
Hakuweza kumjibu Pascal Mayalla , badala ya kutoa jibu akaanza kuleta story za majivuno
Mayula?Mkuu mwandish maaruf JF ni mmoja tu