Mwanaume mmoja anapaswa kuwa na mwanamke mmoja

Genius Man

JF-Expert Member
Apr 7, 2024
994
2,289
Katika uhalisia hili suala la wanaume kuowa wanawake wengi sizani kama lina maana yoyote nafikiri mtu mwenye IQ kubwa sana kwake kuowa wanawake kibao ni udhaifu flani alionao na ni kujitoa akili ni jambo lisilokuwa na maana yoyote.

Mwanaume mmoja anapaswa kuwa na mwanamke mmoja Mke mmoja anatosha kwenye kila kitu unajua Mwanaume kamili unaejielewa lazima ufikiri mke mmoja anatosha lakini mwanaume ulie dhaifu unae endeshwa na tamaa za mwili na uzinzi huna uthibiti wa uwanaume wako ni dhaifu na una IQ ndogo ndio sababu ya kutaka wanawake wengi.

"mwanaume mmoja mwili mmoja na mwanamke mmoja mwili mmoja" huyu alieanzisha habari za wanawake wengi na wao wanao fuata ni wanaume dhaifu sana.
 
Katika uhalisia hili suala la wanaume kuowa wanawake wengi sizani kama lina maana yoyote nafikiri mtu mwenye IQ kubwa sana kwake kuowa wanawake kibao ni udhaifu flani alionao na ni kujitoa akili ni jambo lisilokuwa na maana yoyote.

Mwanaume mmoja anapaswa kuwa na mwanamke mmoja Mke mmoja anatosha kwenye kila kitu unajua Mwanaume kamili unaejielewa lazima ufikiri mke mmoja anatosha lakini mwanaume ulie dhaifu unae endeshwa na tamaa za mwili na uzinzi huna uthibiti wa uwanaume wako ni dhaifu na una IQ ndogo ndio sababu ya kutaka wanawake wengi.

"mwanaume mmoja mwili mmoja na mwanamke mmoja mwili mmoja" huyu alieanzisha habari za wanawake wengi na wao wanao fuata ni wanaume dhaifu sana.
Andika nadhani sio nazani.😉😉😉😉 Sasa kuandika vizuri hujui nguvu za kuhudumia wanawake wanne utazitoa wapi? NB: Iam a woman.
 
Nimejenga heshima yangu humu nikiwa na lengo la kujaribu kutoa michango ya kuisaidia jamii jinsi bora ya kuishi naomba usinivunjie heshima mkuu
Kwa nini hupigi vita ushoga?Kwa nini hupigi vita watu kuwa na michepuko mingi ilhali nyumbani kwao wanajua mwanamke wake ni mmoja?
Hilo la kukataza watu kuoa wanawake wengi officially lina impacts gani kwa jamii?
Kama kweli wewe ni genius nijibu maswali yafuatayo kwa ufasaha vinginevyo bora ufute hilo jina kwenye ID yako.
1.Ni sababu zipi hufanya majority ya wanaume kuchepuka na ilhali wameshaoa tayari?
2.Je unajua kwamba wanawake waliumbwa tofauti na sisi kibaiolojia yaani wenyewe wana mzunguko wa hedhi ila wanaume hatuna excuse yoyote kwa mfano mwanaume hata akiwa amelazwa hospitali na mguu umening'inizwa kwa vyuma akiona uchi tu mashine inasimama na akipewa atatafuta staili yoyote ili mradi apewe apenyeze ila hawezi kukataa kamwe.
Sasa swali linakuja je zile siku za wiki ambazo mwanamke anakuwa kwenye hedhi na mwanaume amepata hisia na anahitaji lazima apate inatakiwa afanyeje au aende wapi ili kujitosheleza kimwili?
3.Je unajua kwamba hata wanyama wa kiume huwa hawatosheki na mwanamke mmoja kwa sababu za kimaumbile,je nikisema hawa wanyama wamekuzidi maarifa nitakuwa nakosea?
 
Kwa nini hupigi vita ushoga?Kwa nini hupigi vita watu kuwa na michepuko mingi ilhali nyumbani kwao wanajua mwanamke wake ni mmoja?
Hilo la kukataza watu kuoa wanawake wengi officially lina impacts gani kwa jamii?
Kama kweli wewe ni genius nijibu maswali yafuatayo kwa ufasaha vinginevyo bora ufute hilo jina kwenye ID yako.
1.Ni sababu zipi hufanya majority ya wanaume kuchepuka na ilhali wameshaoa tayari?
2.Je unajua kwamba wanawake waliumbwa tofauti na sisi kibaiolojia yaani wenyewe wana mzunguko wa hedhi ila wanaume hatuna excuse yoyote kwa mfano mwanaume hata akiwa amelazwa hospitali na mguu umening'inizwa kwa vyuma akiona uchi tu mashine inasimama na akipewa atatafuta staili yoyote ili mradi apewe apenyeze ila hawezi kukataa kamwe.
Sasa swali linakuja je zile siku za wiki ambazo mwanamke anakuwa kwenye hedhi na mwanaume amepata hisia na anahitaji lazima apate inatakiwa afanyeje au aende wapi ili kujitosheleza kimwili?
3.Je unajua kwamba hata wanyama wa kiume huwa hawatosheki na mwanamke mmoja kwa sababu za kimaumbile,je nikisema hawa wanyama wamekuzidi maarifa nitakuwa nakosea?
Acha uzinzi hixi hoja zako hazina mashiko
 
Katika uhalisia hili suala la wanaume kuowa wanawake wengi sizani kama lina maana yoyote nafikiri mtu mwenye IQ kubwa sana kwake kuowa wanawake kibao ni udhaifu flani alionao na ni kujitoa akili ni jambo lisilokuwa na maana yoyote.

Mwanaume mmoja anapaswa kuwa na mwanamke mmoja Mke mmoja anatosha kwenye kila kitu unajua Mwanaume kamili unaejielewa lazima ufikiri mke mmoja anatosha lakini mwanaume ulie dhaifu unae endeshwa na tamaa za mwili na uzinzi huna uthibiti wa uwanaume wako ni dhaifu na una IQ ndogo ndio sababu ya kutaka wanawake wengi.

"mwanaume mmoja mwili mmoja na mwanamke mmoja mwili mmoja" huyu alieanzisha habari za wanawake wengi na wao wanao fuata ni wanaume dhaifu sana.
Nchi zenye viwango vya juu vya elimu, kipato na utajiri kama UAE na Quatar ndiyo zinaongoza kuwa na idadi ya chini zaidi ya wanaume waliooa mke zaidi ya mmoja, japo sheria zao kama nchi ya kiislamu zinawaruhusu.

Nchi 5 zinazoongoza duniani kwa wanaume kuoa wanawake wengi zote ziko Afrika, wana dini moja inayoongoza na ni maskini kupitiliza.
  1. Burkina Faso: 36%
  2. Mali: 34%
  3. Gambia: 30%
  4. Niger: 29%
  5. Nigeria: 28%
Inatafakarisha 🤔

mbu wa dengue kwani ni nyie waafrika tu ndiyo mna huo uhitaji uliokithiri wa ngono?
 
Katika uhalisia hili suala la wanaume kuowa wanawake wengi sizani kama lina maana yoyote nafikiri mtu mwenye IQ kubwa sana kwake kuowa wanawake kibao ni udhaifu flani alionao na ni kujitoa akili ni jambo lisilokuwa na maana yoyote.

Mwanaume mmoja anapaswa kuwa na mwanamke mmoja Mke mmoja anatosha kwenye kila kitu unajua Mwanaume kamili unaejielewa lazima ufikiri mke mmoja anatosha lakini mwanaume ulie dhaifu unae endeshwa na tamaa za mwili na uzinzi huna uthibiti wa uwanaume wako ni dhaifu na una IQ ndogo ndio sababu ya kutaka wanawake wengi.

"mwanaume mmoja mwili mmoja na mwanamke mmoja mwili mmoja" huyu alieanzisha habari za wanawake wengi na wao wanao fuata ni wanaume dhaifu sana.
Kaangalie sensa uwiano uliopo kati ya me vs ke then ujeuseme mmoja mmoja au muendelee kuchapiana au kubakie siri ya kuchapiana
 
Back
Top Bottom