Mwanaume kulelewa ni kujidhalilisha

ntuchake

JF-Expert Member
Apr 17, 2024
277
999
Mwanaume hakuumbwa kulelewa. Mwanaume ukikubali mwanamke akulee unajidhalilisha na utadhalilishwa utake usitake. Wanaume tafuteni vyenu acheni kupenda mteremkoo. Muoneni mwenzenu alivyodhalilishwa! Kwa kuangalia hii video unajua tu kua huyo bidada ndo anamlea jamaa! Nimemuone huruma huyo kaka.

Jamani mkichokana achaneni kwa uzuri tu haina haja ya kudhalilishana sijui tuvumiliane matokeo yake mnadhalilishana tu.
 
Huyo dada hata kama anamlea mtu anayo changamoto ya afya ya akili.

Kulelewa kubaya sana, kuna ya bongo mdada wa oman vs frank kwa kiredio, ni aibu.
 
Back
Top Bottom