syakuswighisya
Member
- Dec 29, 2015
- 37
- 22
mie ni bint wa miaka 25 ni h.i.v possitive din mkristo , mwajiliwa katik kampuni fulani hv, ni mrefu ,rangi maji ya kunde....
kwa mwanaumw aliyetayar tuyajenge maisha kwa kufarijian na upendo anakaribishw lakin awe kweli anahitaji mke sio hawara wal mpenz...
NB:awe mkristo, awe mrefu, umri aczid miaka 35, kabila lolote, mchapakaz.
aliyetayar anipm wale wa kejeli na mzah samahani.. ahsanteni
Hii pia ni kejeli kwa mleta madaMbona ambao hawajaukwaa hawaji kutafuta wanaume??
Au ndio mpaka muukwae ndo muje..
anyway Wale wazee wa vyuma chakavu watakuja tu
ameen ubarikiweMungu akujaalie haja na hitaji la moyo wako.
Tumechoshwa na nyodo zao bhana.. unakuta unamuita demu hata mate anaeza akakutemea,Hii pia ni kejeli kwa mleta mada
Maneno gani hayo mkuu hayo? Binadamu mwenzako unamlinganisha na chuma chakavu kivipi unadhani we utabaki mzima milele? Pengine unao hapo ulipo hujapima tu! Maisha hujui uendako!Mbona ambao hawajaukwaa hawaji kutafuta wanaume??
Au ndio mpaka muukwae ndo muje..
anyway Wale wazee wa vyuma chakavu watakuja tu
rekebisha kauli zako sio lazima kukoment unawez kupit tuMbona ambao hawajaukwaa hawaji kutafuta wanaume??
Au ndio mpaka muukwae ndo muje..
anyway Wale wazee wa vyuma chakavu watakuja tu
ndiyoHivi huwa mko serious kweli na haya matangazo ya kutafuta wenza?
Msamehe bura kwa maana hajui atendalo.....rekebisha kauli zako sio lazima kukoment unawez kupit tu
Kukaa kimya ni busara pia.Tumechoshwa na nyodo zao bhana.. unakuta unamuita demu hata mate anaeza akakutemea,
Wakishabaki skrepa ndo wanakuja humu kutujazia server
si kila anayekuja hum kuleta uzi ni kwamba ana nyodo kumbuka kwamba kuna mambo mengi yanayochangia maambukiz...Tumechoshwa na nyodo zao bhana.. unakuta unamuita demu hata mate anaeza akakutemea,
Wakishabaki skrepa ndo wanakuja humu kutujazia server
shamkware hajui kwamba maish yanazunguka ila mungu amsamehe sanaManeno gani hayo mkuu hayo? Binadamu mwenzako unamlinganisha na chuma chakavu kivipi unadhani we utabaki mzima milele? Pengine unao hapo ulipo hujapima tu! Maisha hujui uendako!