Mwanaume chukua hii itakusaidia usiue, usijiue wala usiuawe

The redemeer

JF-Expert Member
Jan 28, 2025
1,142
1,954
Mwanaume chukua hii itakusaidia usiue, usijiue wala usiuawe

Iko namna hii;

Hakuna mwanaume mwenye ujasiri wa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanamke aliyeolewa isipokuwa mwanamke huyo amempa ishara kwamba yuko tayari.

Kama mwanaume, ukimkamata mke wako akiwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanaume mwingine, tafadhali mshughulikie mke wako kwa sababu ndiye aliyekianzisha. Kwa kawaida, wanaume huwahofia wake za watu, lakini wake za watu huwatega wanaume.

We mwanamke gani kila wakati ukiombwa no unatoa ,,uvaaji sifuri unacheka na kila mtu,,marafiki zako ni wale wadangaji waio olewa..

Lazima kujipambanua ,,ukiwa mke wa mtu una kazi ya kumweshimisha mmeo

Kuwa fanya wanaume wengine wamsifu mmeo alijua kuoa ...na siyo wanaume kuonyeshana mtu rahisi wa kufanya naye mapenzi

Kaka MWAFRIKA 🙏
Sauti ya wasio na sauti
 
Wanasema msiba mzuri ni wajirani yako unaweza kucheza karata na ukaongea.Siku yakikupata ndio utajua.

Umenikumbusha Series ya Mr.Robot alikwenda kwa mtaalamu wa saikolojia kuomba ushauri kumbe na yeye mwana saikolojia anasumbuliwa kama wengine kisaikolojia.
IMG_0722.jpeg
 
Dawa ya fumanizi ni kuingia ndani kulock mlango wachukue video kama ushahidi wakizingua unamwaga ugali na mboga kisha wablackmail kwa kumwambia mchizi uliyemfuma aliendeleze kisha unamwambia akae kando na wewe unaingia unaliendeleza yaani inshort mnampiga mtungo kwa zamuzamu mixer kunyash the mix huyo malaya wako alafu ukimaliza unasepa.

Akirudia tena mwendo ni kujoin threesome.Mwenyewe ataacha ujinga maana akifikiria ukimfuma ni mtungo lazima achizi🤗🤗🤗

📌📌📌Dawa ya hawa malaya ni kuwashow kuwa hujali na huna cha kupoteza. Kata mzizi wa fitina kwa kuuwa hisia.Akitoka hapo atakuheshimu milele.Umafia umafionso bladiful gadembich!!!
 
Back
Top Bottom