Mrejeasho.
Hawa wapuuzi wameifungua lisaa moja baada ya hii post.
Tunasafari ndefu kama Watanzia kwa hizi taasisi zetu ambazo full admns ni Watanzania wenyewe. Hatuko committed kwa kazi zetu, huduma zetu ni mbovu mno and no one cares.
Habari wakuu,
Naomba kama wewe ni mwansheria ama una firm ya sheria soma hitaji langu hapa then kama utaona kuna uwezekano wa kushinda kesi basi njoo imbox.
Nilifungua acc ya benk Crdb tawi la Morogoro miaka kama mitano hivi iliyopita kipindi naishi Moro nikiwa na mishe zangu hapo.
Nilihamia Mwanza nikaendelea kuitumia acc hiyo na nilimpa mwajiri wangu acc hiyo salary ikiwa inapitia huko.
Mara ya mwisho nimetoa hela mwezi wa kwanza tareh 30 kwenye ATM bila shida.
Tarehe 02 mwezi huu wa pili nilitaka kutoa hela kwenye ATM ikashindikana na hapo ndo tatizo lilipoanzia. Nilidhani ni tatizo dogo tu lingeweza kusovika kwa tawi lolote lile la hiyo benki.
Niliaenda CRDB Kinyata Mwanza nikawaeleza, wakaangalia acc yangu then wakaniambia wenye kuifungua ni huko Moro, wakaniambia tunawaandikia email kuomba kuifungua. Nikawauliza itakuwa tayari kwa muda gani. Wakadai ni hadi email ijibiwe na hawajui itajibiwa lini. Siku iliyofuata nilienda wakanipa jibu simple, email hajajibiwa.
Nikaona isiwe tabu nikatafuta namba ya huduma kwa wateja ya CRDB nikapa nilivyowapigia wakanipa majibu simple. " Nenda na kitambulisho chako cha NIDA tawi lolote la CRDB lililokaribu yako wakufungulie,". Sasa kwa vile kazini kwangu kuna hiyo benki nikaamua kuwatumia wao.
Wakapiga simu directly kwa branch Manager, simu haikupokelewa wakapiga tena hivyo hivyo, hakupokelewa.
Wakawaandikia compliance wao email wakaweka details za acc yangu wakaniambia nitapigiwa simu na hao compliance. Siku zikaenda no calls.
Nikarudi tena hapo nao wakashangaa kuona tatizo langu halijatatuliwa, wakawapigia Compliance waambiwa tuliaandikia email CRDB Moro waishughulikie, wakaamua kumpigia manager wakiwa wameunga watu watatu.
Baada ya simu kuita kwa muda mrefu manager akapokea, akaelezwa tatizo langu. Manager hakutoa majibu akasema nakuja. Wakasubiri zaidi ya nusu saa manager hakutokea, wakampigia staff wa kawaida wakamweleza tatizo langu, staff akaangalia acc yangu akasema acc imekamilika ila staff aliyeisajili ndo alisahau kuweka details zao za ndani ambazo mimi sijui ni details gani aliacha kuweka. Wakasema huyo staff kwa sasa kahamishiwa Mtwara. Wakamuomba aishughulikie akasema anaifanyia kazi.
Days goes on. Hakuna acc haijafinguliwa, nikarudi tena wakapiga simu. This time response is worse, wanadai aliyeifungua alikuwa intern hakujua vitu vingine vinavyohitajika, staff wa Moro wanashauri kwa vile acc ina matitizo waifute.
Staff wa hapa ofisini akamuuliza unaifutaje acc ya mteja ambayo ina hela zake? Huyo staff aliekuwa anaongea naye akasema basi asubiri wamtafute huyo intern aje aifungue.
Hapo ndo tulipofikia, so far nimekopa kila sehemu, na mwanangu anaumwa ndani sina hata mia mbovu.
Kama wewe ni mwanasheria na umesoma lalamiko langu, na ukaona unaweza kushinda case hii ni inbox. Na ingependeza akawa ni mwanasheria wa Mwanza.
Asante
Hawa wapuuzi wameifungua lisaa moja baada ya hii post.
Tunasafari ndefu kama Watanzia kwa hizi taasisi zetu ambazo full admns ni Watanzania wenyewe. Hatuko committed kwa kazi zetu, huduma zetu ni mbovu mno and no one cares.
Habari wakuu,
Naomba kama wewe ni mwansheria ama una firm ya sheria soma hitaji langu hapa then kama utaona kuna uwezekano wa kushinda kesi basi njoo imbox.
Nilifungua acc ya benk Crdb tawi la Morogoro miaka kama mitano hivi iliyopita kipindi naishi Moro nikiwa na mishe zangu hapo.
Nilihamia Mwanza nikaendelea kuitumia acc hiyo na nilimpa mwajiri wangu acc hiyo salary ikiwa inapitia huko.
Mara ya mwisho nimetoa hela mwezi wa kwanza tareh 30 kwenye ATM bila shida.
Tarehe 02 mwezi huu wa pili nilitaka kutoa hela kwenye ATM ikashindikana na hapo ndo tatizo lilipoanzia. Nilidhani ni tatizo dogo tu lingeweza kusovika kwa tawi lolote lile la hiyo benki.
Niliaenda CRDB Kinyata Mwanza nikawaeleza, wakaangalia acc yangu then wakaniambia wenye kuifungua ni huko Moro, wakaniambia tunawaandikia email kuomba kuifungua. Nikawauliza itakuwa tayari kwa muda gani. Wakadai ni hadi email ijibiwe na hawajui itajibiwa lini. Siku iliyofuata nilienda wakanipa jibu simple, email hajajibiwa.
Nikaona isiwe tabu nikatafuta namba ya huduma kwa wateja ya CRDB nikapa nilivyowapigia wakanipa majibu simple. " Nenda na kitambulisho chako cha NIDA tawi lolote la CRDB lililokaribu yako wakufungulie,". Sasa kwa vile kazini kwangu kuna hiyo benki nikaamua kuwatumia wao.
Wakapiga simu directly kwa branch Manager, simu haikupokelewa wakapiga tena hivyo hivyo, hakupokelewa.
Wakawaandikia compliance wao email wakaweka details za acc yangu wakaniambia nitapigiwa simu na hao compliance. Siku zikaenda no calls.
Nikarudi tena hapo nao wakashangaa kuona tatizo langu halijatatuliwa, wakawapigia Compliance waambiwa tuliaandikia email CRDB Moro waishughulikie, wakaamua kumpigia manager wakiwa wameunga watu watatu.
Baada ya simu kuita kwa muda mrefu manager akapokea, akaelezwa tatizo langu. Manager hakutoa majibu akasema nakuja. Wakasubiri zaidi ya nusu saa manager hakutokea, wakampigia staff wa kawaida wakamweleza tatizo langu, staff akaangalia acc yangu akasema acc imekamilika ila staff aliyeisajili ndo alisahau kuweka details zao za ndani ambazo mimi sijui ni details gani aliacha kuweka. Wakasema huyo staff kwa sasa kahamishiwa Mtwara. Wakamuomba aishughulikie akasema anaifanyia kazi.
Days goes on. Hakuna acc haijafinguliwa, nikarudi tena wakapiga simu. This time response is worse, wanadai aliyeifungua alikuwa intern hakujua vitu vingine vinavyohitajika, staff wa Moro wanashauri kwa vile acc ina matitizo waifute.
Staff wa hapa ofisini akamuuliza unaifutaje acc ya mteja ambayo ina hela zake? Huyo staff aliekuwa anaongea naye akasema basi asubiri wamtafute huyo intern aje aifungue.
Hapo ndo tulipofikia, so far nimekopa kila sehemu, na mwanangu anaumwa ndani sina hata mia mbovu.
Kama wewe ni mwanasheria na umesoma lalamiko langu, na ukaona unaweza kushinda case hii ni inbox. Na ingependeza akawa ni mwanasheria wa Mwanza.
Asante