Mwananchi amwambia Waziri Masauni “Kuna Viongozi wanawalinda Waharifu waziwazi, hatuwataki hao.”

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
3,330
12,950
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amefika na kusikiliza kero za Wananchi wanaoishi maeneo ya Viwanja vya Mtaa wa Barafu Kata ya Mburahati Wilayani Ubungo wakati wa ziara ya Waziri huyo kukagua utendaji wa vyombo vilivyopo chini ya Wizara.

Waziri Masauni ametoa taarifa ya Serikali akielezea mkakati wa Serikali wa kupeleka Polisi Kata Nchi nzima sambamba na ujenzi wa vituo vya Polisi katika kata zote nchini.
 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amefika na kusikiliza kero za Wananchi wanaoishi maeneo ya Viwanja vya Mtaa wa Barafu Kata ya Mburahati Wilayani Ubungo wakati wa ziara ya Waziri huyo kukagua utendaji wa vyombo vilivyopo chini ya Wizara.

Waziri Masauni ametoa taarifa ya Serikali akielezea mkakati wa Serikali wa kupeleka Polisi Kata Nchi nzima sambamba na ujenzi wa vituo vya Polisi katika kata zote nchini.
all this is rubbish, hamna kitu hapo ni siasa za kijinga. hakuna ambaye yuko serious na anachokisema
 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amefika na kusikiliza kero za Wananchi wanaoishi maeneo ya Viwanja vya Mtaa wa Barafu Kata ya Mburahati Wilayani Ubungo wakati wa ziara ya Waziri huyo kukagua utendaji wa vyombo vilivyopo chini ya Wizara.

Waziri Masauni ametoa taarifa ya Serikali akielezea mkakati wa Serikali wa kupeleka Polisi Kata Nchi nzima sambamba na ujenzi wa vituo vya Polisi katika kata zote nchini.

Kiongozi kuwa muadilifu katika Uislam ni jambo muhimu na linazingatiwa sana. Uadilifu (au haki) ni sifa muhimu inayotarajiwa kwa kiongozi yeyote katika Uislam. Qur'an na Hadith zinasisitiza umuhimu wa uadilifu katika uongozi. Hapa kuna baadhi ya mambo muhimu kuhusu uadilifu wa kiongozi katika Uislam:

1. Kufanya Haki​

Kiongozi muadilifu anatakiwa kuhakikisha anafanya haki kwa wote bila ubaguzi. Qur'an inasema:

"Enyi mlioamini! Kuweni wasimamizi wa uadilifu, mkitoa ushahidi kwa ajili ya Allah, ijapokuwa ni kinyume na nafsi zenu wenyewe, au wazazi wawili na jamaa zenu." (Qur'an 4:135)

2. Usawa na Uadilifu​

Kiongozi anatakiwa kutenda haki na kuleta usawa katika jamii. Anapaswa kuepuka upendeleo na ubaguzi wa aina yoyote.

"Na ukihukumu baina ya watu, basi hukumuni kwa uadilifu." (Qur'an 4:58)

3. Uaminifu​

Kiongozi muadilifu ni lazima awe mwaminifu na asiyedanganya. Uaminifu ni msingi muhimu wa uadilifu.

"Kwa hakika Allah anakuamrisheni mzirudishe amana kwa wenyewe." (Qur'an 4:58)

4. Uadilifu Katika Maamuzi​

Kiongozi lazima afanye maamuzi kwa haki na uadilifu bila kuathiriwa na matamanio ya kibinafsi au shinikizo kutoka kwa wengine.

"Na msiufuate matamanio ya nafsi zenu mkaacha kufanya uadilifu." (Qur'an 4:135)

5. Kuwajibika​

Kiongozi anatakiwa kuwa na uwajibikaji na kuhakikisha anaweza kujitetea kwa matendo yake mbele ya Allah na mbele ya watu.

"Kila mmoja wenu ni mchunga, na kila mchunga atawajibika kwa alichokichunga." (Hadith)

6. Kusikiliza na Kutenda Kwa Haki​

Kiongozi anatakiwa kusikiliza malalamiko na changamoto za watu wake na kuzitafutia ufumbuzi kwa haki.

"...Na wanapohukumu baina ya watu, huhukumu kwa haki." (Qur'an 6:152)

7. Uaminifu na Uadilifu wa Kiuchumi​

Kiongozi lazima asimamie rasilimali za umma kwa uadilifu na bila matumizi mabaya au ufisadi.

"Na wala msile mali zenu kwa dhuluma..." (Qur'an 2:188)
 
Full kulindana, sasa hapo mburahati barafu si ni karibu kabisa na kituo cha polisi hapo mburahati, na pia sio mbali na kituo cha polisi usalama, na bado kuna vituo vidogo vya polisi kibao wilaya ya ubungo.

Ila uhalifu wa madawa ya kulevya, wizi wa kutumia silaha, vibaka wakwapuaji ni wengi mno.
Na shida ni hiyo wilaya siasa nyingi, kubebana sana na wananchi wao kwa wao kufichiana wahalifu.
 
Back
Top Bottom