Mwanamke kupata hedhi ya siku 9

Bani Israel

JF-Expert Member
May 27, 2016
1,765
3,571
Ndugu wanabodi nina swali hapa. Japo muda umeenda ila Nimeshindwa ling'amua kuhusiana na mzunguko wake ameniuliza ila nimeona nitafute wajuvi wa wanisaidie.

Mzunguko wake ni wa siku 28, ila bleed anaenda hadi siku 9 japo kuna kipindi huwa kawaida zinaishia 5,
Swali lake je? hii hali ambapo anapata bleed siku 9 vipi kuhusu siku za kupata mimba huwa ni sawa sawa na zile ambazo anapata akiishia siku 5 za bleed ambapo ovulation huwa siku ya 14 ila vipi mwezi ambao anapata bleed siku 8-9?? Ovulation huwa hiyo hiyo siku au inabadilika??

Natanguliza shukrani.
 
Ni ovulation chief.

Jibu la swali lako ni kwamba siku ya ovulation ni ile ile ya 14, haijalishi kama mzunguko ni mrefu au mfupi.

Ila kubleed kwa siku 8-9 is far away from normal.
 
Habari,
Urefu wa siku za hedhi kitaalamu ni siku 2 Hadi 7 au hadi 9. Yaani, baadhi ni 2-7, baadhi siku 2-9 inakubalika kuwa ni kawaida, kutegemeana na umri wa mhusika.

Tarehe ya yai kutoka (ovulation) itafuata Urefu wa mzunguko wake na sio Urefu wa siku za hedhi, japokuwa ni muhimu kujua kwamba kukadiria tarehe sio rahisi ( hizo kanuni ni makadirio tu) na pia sio kila mzunguko yai huwa linakuwa limekomaa na kutoka(ovulation).

Tunashauri kukutana kimwili angalau mara tatu kwa wiki kwa kupishanisha siku Ili kuongeza uwezekano wa kupata siku ya yai kutoka (ovulation) badala ya kutegemea mahesabu ya kutoa. (Inahitaji ufundishwe vizuri na mtaalamu wa afya mwenye uzoefu,Ili kutumia hizo hesabu za kutoa 14)
 
Ndugu wanabodi nina swali hapa. Japo muda umeenda ila Nimeshindwa ling'amua kuhusiana na mzunguko wake ameniuliza ila nimeona nitafute wajuvi wa wanisaidie.

Mzunguko wake ni wa siku 28, ila bleed anaenda hadi siku 9 japo kuna kipindi huwa kawaida zinaishia 5,
Swali lake je? hii hali ambapo anapata bleed siku 9 vipi kuhusu siku za kupata mimba huwa ni sawa sawa na zile ambazo anapata akiishia siku 5 za bleed ambapo ovulation huwa siku ya 14 ila vipi mwezi ambao anapata bleed siku 8-9?? Ovulation huwa hiyo hiyo siku au inabadilika??

Natanguliza shukrani.
Huyo ameshusha injini
 
Back
Top Bottom