Mwalimu wa Muziki na/au uigizaji anatafutwa

Mikongeni

Member
Apr 2, 2012
32
3
Shule ya sekondari Inspire (Inspire Sec. Schol talent academy) iliyopo Kibaha, inamtafuta mwalimu wa muziki na/au uigizaji kufanya kazi shuleni kwao. Shule ipo karibu na Kwa Matias na hivyo mwalimu aliye maeneo ya kibaha itamfaa zaidi.

Piga simu 0786227862 au 0755 872 551 au andika barua pepe kwenye anwani hizi: resbijura@yahoo.com/respiciusbijura@gmail.com, kuomba kazi hii. Mwalimu wa shule jirani anaweza kupewa nafasi ya kufundisha kwa muda tutakaokubaliana.
 
Bora mngetaja na qualification...mana mm nna ndugu yangu ana bachelor ya literature...ila amesoma baadhi ya course kama drama ....nadhani anaweza kuwafaa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…