Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,443
- 40,537
Hawa wajamaa hawazeeki toka huo mwaka yupo fresh sn kama Mugabemwaka 59 huyo mtu yuko fresh tu na ana londo new model mumuite maskini,eti michango ilichangwa sijui wapi ya tanu asafiri.hiki kichwa hela kilikua nazo kibao tu.mengine iliua maigizo fulani
Sidhani kama una umri wa kutosha kumuita hivyo hayati Baba wa Taifa!Julius hakuwahi kuwa maskini hasa umaskini wa fedha; hata kidogo. Isipokuwa alichofanya ni kuizuia fedha isimtawale. Iko hivyo tu.
Asante sana very interesting!mwaka 59 huyo mtu yuko fresh tu na ana londo new model mumuite maskini,eti michango ilichangwa sijui wapi ya tanu asafiri.hiki kichwa hela kilikua nazo kibao tu.mengine iliua maigizo fulani
Huoni limeandikwa tanu?hata kama humpendi,uwe mkwelimwaka 59 huyo mtu yuko fresh tu na ana londo new model mumuite maskini,eti michango ilichangwa sijui wapi ya tanu asafiri.hiki kichwa hela kilikua nazo kibao tu.mengine iliua maigizo fulani
Nimeipenda sana hii, miaka hiyo nagari machache na kuna lamimwaka 59 huyo mtu yuko fresh tu na ana londo new model mumuite maskini,eti michango ilichangwa sijui wapi ya tanu asafiri.hiki kichwa hela kilikua nazo kibao tu.mengine iliua maigizo fulani
Notedmwaka 59 huyo mtu yuko fresh tu na ana londo new model mumuite maskini,eti michango ilichangwa sijui wapi ya tanu asafiri.hiki kichwa hela kilikua nazo kibao tu.mengine iliua maigizo fulani
Nimeona 109 jiko la shamba sio mchezo.Asante sana very interesting!