Mwaka jana niliponea chupuchupu kuupata Ukimwi, ila mwaka huu nimeangukia kwa Penzi la Mshangazi, nifanyaje kuoa

Mfalme_wa_Nyika

JF-Expert Member
May 24, 2023
404
923
Wadau,
Napenda kupata tu ushauri, ninachotaka kufanya sifanyi na ninachofanya sio ninachotaka kufanya..
...
Nisikuchoshe ni hivi, mwaka jana nilishawahi kulala na mwanachuo fulani kumbe ni muathirika na baada ya kutumia PEP niliponea shimo la moto kwani mpaka wa leo mimi ni mzima wa afya...nikajiapiza sitaki tena mahusiano holela na nitaamua kuoa ila wapi ubinadamu kazi nikasahau tabu nilizopata wakati wakumeza ile midawa...

Kiufupi tokea mwanzoni mwa mwaka huu nimezama kwenye penzi la mshangazi ambaye kiumri kanizidi kama miaka 15 ni yupo kwenye miaka 44/45 ila ni pisi wa kuotea mbali, huyu ni single mother na hajawahi kuolewa na ana mtoto mmoja anaishi ulaya kwani alizaa na mzungu...

Kifupi nimetokea sana kuvutiwa na mshangazi kwani tokea nipate mabalaa mwaka jana watoto wa 2000 sina hamu nao tena kama nimepata mapepo yakuvutiwa na mishangazi, ....

Sasa nimekaa nimewaza kama watoto wa 2000 niliwahi kukuta ameungua...je huyu mshangazi hata kuja kuniunguza kweli!? Kwa maana kabla ya kuwa na mahusiano naye tumepima afya zetu kila tu tuko sawa na mimi kutumia condom siwezi so namla mshangazi nyamanyama kwa kwenda mbele...

Zaidi, niko katika umri wa kuoa, kwani nina zaidi ya miaka 29, ila sioni umuhimu wa kuoa kabisa na niko kawaida yaani siwazi, hivi niko sawa kweli!? Au kuna pepo niende kwa mwamposa aniombee!?

Nimeridhika kukaa na mshangazi, kifupi naona ni bonge la pisi yaani sitaki wasichana wa umri wangu au chini ya umri wangu...

Cha ajabu mimi ni mtu nina maisha yangu so sio kuwa ni marioo nina kila kitu kwa maisha ya kati ya kitanzania mtu kuwa nacho ila nataka kuoa ila sitaki kuoa sijielewi...kwani by the age of 25, nilishakuwa na nyumba, magari mawili na asset kadhaa kama mashamba nk na kazi inayonipa kipato na biashara zingine za kujiongeza, ninachopenda tu ni kuwa na quality time na mshangazi wangu....hilo tu na jinsi anavyonijali yaaani napenda wanawake walonizidi umri na siwezi kukaa wiki moja sijafanya mapenzi naona kama ntaumwa....

Sijielewi
 
Kama hujali kupata watoto kula maisha tuu na mshangazi, life’s too short acha kuhangaika
Safi mkuu, na mimi nina mtoto nilimpata na miaka 19, ana miaka 10 sasa..
So nadhani sitakaa kutaka kuoa na naona poa tu wala siwazi kabisa wala kujiona tofauti...
Acha nile maisha na mshangazi kwani shi ngapi bana
 
Wadau,
Napenda kupata tu ushauri, ninachotaka kufanya sifanyi na ninachofanya sio ninachotaka kufanya..
...
Nisikuchoshe ni hivi, mwaka jana nilishawahi kulala na mwanachuo fulani kumbe ni muathirika na baada ya kutumia PEP niliponea shimo la moto kwani mpaka wa leo mimi ni mzima wa afya...nikajiapiza sitaki tena mahusiano holela na nitaamua kuoa ila wapi ubinadamu kazi nikasahau tabu nilizopata wakati wakumeza ile midawa...

Kiufupi tokea mwanzoni mwa mwaka huu nimezama kwenye penzi la mshangazi ambaye kiumri kanizidi kama miaka 15 ni yupo kwenye miaka 44/45 ila ni pisi wa kuotea mbali, huyu ni single mother na hajawahi kuolewa na ana mtoto mmoja anaishi ulaya kwani alizaa na mzungu...

Kifupi nimetokea sana kuvutiwa na mshangazi kwani tokea nipate mabalaa mwaka jana watoto wa 2000 sina hamu nao tena kama nimepata mapepo yakuvutiwa na mishangazi, ....

Sasa nimekaa nimewaza kama watoto wa 2000 niliwahi kukuta ameungua...je huyu mshangazi hata kuja kuniunguza kweli!? Kwa maana kabla ya kuwa na mahusiano naye tumepima afya zetu kila tu tuko sawa na mimi kutumia condom siwezi so namla mshangazi nyamanyama kwa kwenda mbele...

Zaidi, niko katika umri wa kuoa, kwani nina zaidi ya miaka 29, ila sioni umuhimu wa kuoa kabisa na niko kawaida yaani siwazi, hivi niko sawa kweli!? Au kuna pepo niende kwa mwamposa aniombee!?

Nimeridhika kukaa na mshangazi, kifupi naona ni bonge la pisi yaani sitaki wasichana wa umri wangu au chini ya umri wangu...

Cha ajabu mimi ni mtu nina maisha yangu so sio kuwa ni marioo nina kila kitu kwa maisha ya kati ya kitanzania mtu kuwa nacho ila nataka kuoa ila sitaki kuoa sijielewi...kwani by the age of 25, nilishakuwa na nyumba, magari mawili na asset kadhaa kama mashamba nk na kazi inayonipa kipato na biashara zingine za kujiongeza, ninachopenda tu ni kuwa na quality time na mshangazi wangu....hilo tu na jinsi anavyonijali yaaani napenda wanawake walonizidi umri na siwezi kukaa wiki moja sijafanya mapenzi naona kama ntaumwa....

Sijielewi
tangazo limekaa vibaya sana..
 
Wadau,
Napenda kupata tu ushauri, ninachotaka kufanya sifanyi na ninachofanya sio ninachotaka kufanya..
...
Nisikuchoshe ni hivi, mwaka jana nilishawahi kulala na mwanachuo fulani kumbe ni muathirika na baada ya kutumia PEP niliponea shimo la moto kwani mpaka wa leo mimi ni mzima wa afya...nikajiapiza sitaki tena mahusiano holela na nitaamua kuoa ila wapi ubinadamu kazi nikasahau tabu nilizopata wakati wakumeza ile midawa...

Kiufupi tokea mwanzoni mwa mwaka huu nimezama kwenye penzi la mshangazi ambaye kiumri kanizidi kama miaka 15 ni yupo kwenye miaka 44/45 ila ni pisi wa kuotea mbali, huyu ni single mother na hajawahi kuolewa na ana mtoto mmoja anaishi ulaya kwani alizaa na mzungu...

Kifupi nimetokea sana kuvutiwa na mshangazi kwani tokea nipate mabalaa mwaka jana watoto wa 2000 sina hamu nao tena kama nimepata mapepo yakuvutiwa na mishangazi, ....

Sasa nimekaa nimewaza kama watoto wa 2000 niliwahi kukuta ameungua...je huyu mshangazi hata kuja kuniunguza kweli!? Kwa maana kabla ya kuwa na mahusiano naye tumepima afya zetu kila tu tuko sawa na mimi kutumia condom siwezi so namla mshangazi nyamanyama kwa kwenda mbele...

Zaidi, niko katika umri wa kuoa, kwani nina zaidi ya miaka 29, ila sioni umuhimu wa kuoa kabisa na niko kawaida yaani siwazi, hivi niko sawa kweli!? Au kuna pepo niende kwa mwamposa aniombee!?

Nimeridhika kukaa na mshangazi, kifupi naona ni bonge la pisi yaani sitaki wasichana wa umri wangu au chini ya umri wangu...

Cha ajabu mimi ni mtu nina maisha yangu so sio kuwa ni marioo nina kila kitu kwa maisha ya kati ya kitanzania mtu kuwa nacho ila nataka kuoa ila sitaki kuoa sijielewi...kwani by the age of 25, nilishakuwa na nyumba, magari mawili na asset kadhaa kama mashamba nk na kazi inayonipa kipato na biashara zingine za kujiongeza, ninachopenda tu ni kuwa na quality time na mshangazi wangu....hilo tu na jinsi anavyonijali yaaani napenda wanawake walonizidi umri na siwezi kukaa wiki moja sijafanya mapenzi naona kama ntaumwa....

Sijielewi

Unapohangaika na mshangazi, ukumbuke ya kuwa D. Trump amesitisha misaada ya ARV
 
Unapohangaika na mshangazi, ukumbuke ya kuwa D. Trump amesitisha misaada ya ARV
Kama hujawahi kujua mtu akishafika umri huo kama hana ni ngumu sana kuupata maana kajitunza ujanani afu aje kuathirika uzeeni? Hawa Gen-Z ndiyo wanakwenda kwa tamaa hata hawajui kukataa au kumkomalia mtu wapime ilimradi mubaba ana gari kali kwisha habari yao
 
Hapa umeongea point sana, nashangaa sana maana mtu akiwa na umri mkubwa ina maana pia amepitia mengi na kama yuko fit ina maana anajali...hongera kwa mshangazi wangu maana aliwahi niambia kuna miaka aliwahi kukaa mitano kabisa hajawahi kukutana na mwanaume kimwili...dah sikumuamini ila inabidi niamini
Kama hujawahi kujua mtu akishafika umri huo kama hana ni ngumu sana kuupata maana kajitunza ujanani afu aje kuathirika uzeeni? Hawa Gen-Z ndiyo wanakwenda kwa tamaa hata hawajui kukataa au kumkomalia mtu wapime ilimradi mubaba ana gari kali kwisha habari y
 
Back
Top Bottom