Sherlord32
New Member
- Sep 11, 2024
- 2
- 3
Wana JF,
Mwaka Jana niliomba mkopo na nikapewa ila kutokana na matatizo binafsi ckuweza kwenda chuo Sasa Mwaka huu nimeapply mkopo tena ukagoma naambiwa nilipie asilimia 25 ya mkopo niliopewa hio imekaaje wadau kwa mwenye uelewa anisaidie.
Mwaka Jana niliomba mkopo na nikapewa ila kutokana na matatizo binafsi ckuweza kwenda chuo Sasa Mwaka huu nimeapply mkopo tena ukagoma naambiwa nilipie asilimia 25 ya mkopo niliopewa hio imekaaje wadau kwa mwenye uelewa anisaidie.