Pre GE2025 Mvutano CCM Rufiji: Viongozi wadai kusimamishwa kwa kutomuunga mkono Mbunge Mchengerwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
May 16, 2024
1,870
5,045
Wakuu

Mnakumbuka sakata la CCM Rufiji kumpitisha Mchengerwa mgombea pekee?

Mapya yaibuka huko, panga limepita kwenye Chama

==

Katika Wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani, kumekuwa na sintofahamu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambapo baadhi ya viongozi wa matawi na kata wamedai kusimamishwa kuendelea na nafasi zao kwa kile kinachodaiwa ni kutomuunga mkono Mbunge wa sasa wa Jimbo la Rufiji Mohamed Mchengerwa katika jimbo hilo ambalo limeonekana kuwavutia wanasiasa wengine.

Soma: CCM Rufiji kumpitisha Mchengerwa mgombea pekee

Akizungumza na Jambo TV, Ramadhan Kassim, aliyekuwa Katibu Mwenezi wa CCM Kata ya Mkongo, ambaye ni miongoni mwa waliodai kusimamishwa, amesema kuwa Katibu wa CCM Wilaya ya Rufiji alimsimamisha kutoka kwenye nafasi hiyo katika Mkutano Mkuu wa Halmashauri Kuu ya Kata ya Mkongo.

Ramadhan ameeleza kuwa hatua hiyo haikufuata taratibu za chama na ametoa wito kwa viongozi wa juu wa CCM kufika wilayani Rufiji ili kuchunguza suala hilo na kuhakikisha haki inatendeka kwa wote waliokumbwa na hali hiyo.

Sakata hili linatokea wakati joto la uchaguzi wa mwaka 2025 wa Urais, Ubunge na Udiwani likianza kuongezeka, ambapo wanasiasa mbalimbali wamekuwa wakionekana kupalilia njia kuelekea kuteuliwa na vyama vyao kugombea nafasi hizo wakati utakapofika.
 
Katika Wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani, kumekuwa na sintofahamu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambapo baadhi ya viongozi wa matawi na kata wamedai kusimamishwa kuendelea na nafasi zao kwa kile kinachodaiwa ni kutomuunga mkono Mbunge wa sasa wa Jimbo la Rufiji Mohamed Mchengerwa katika jimbo hilo ambalo limeonekana kuwavutia wanasiasa wengine.

Akizungumza na Jambo TV, Ramadhan Kassim, aliyekuwa Katibu Mwenezi wa CCM Kata ya Mkongo, ambaye ni miongoni mwa waliodai kusimamishwa, amesema kuwa Katibu wa CCM Wilaya ya Rufiji alimsimamisha kutoka kwenye nafasi hiyo katika Mkutano Mkuu wa Halmashauri Kuu ya Kata ya Mkongo.

Ramadhan ameeleza kuwa hatua hiyo haikufuata taratibu za chama na ametoa wito kwa viongozi wa juu wa CCM kufika wilayani Rufiji ili kuchunguza suala hilo na kuhakikisha haki inatendeka kwa wote waliokumbwa na hali hiyo.

Sakata hili linatokea wakati joto la uchaguzi wa mwaka 2025 wa Urais, Ubunge na Udiwani likianza kuongezeka, ambapo wanasiasa mbalimbali wamekuwa wakionekana kupalilia njia kuelekea kuteuliwa na vyama vyao kugombea nafasi hizo wakati utakapofika.
Watauana mwaka huu
 
Acheni kumchafua Mheshimiwa Waziri Mohammedi mchengerwa. Ambaye kila mtanzania anafahamu vyema uchapakazi wake na uzalendo wake kwa Taifa letu
 
Watauana mwaka huu
Hakuna anayeweza kumshinda Mheshimiwa Mchengerwa iwe ni katika kura za maoni au uchaguzi Mkuu. Mheshimiwa Mchengerwa ni miongoni mwa viongozi wachapakazi, waadilifu, wazalendo na wenye juhudi kumbwa sana katika kuleta matokeo Chanya kwenye majukumu anayokuwa amekabidhiwa. Mheshimiwa Mchengerwa ameweka alama kubwa sana katika wizara ya Tamisemi na ataendelea kuwa wa mfao na kuigwa katika utumishi uliotukuka.
 
Wakuu

Mnakumbuka sakata la CCM Rufiji kumpitisha Mchengerwa mgombea pekee?

Mapya yaibuka huko, panga limepita kwenye Chama

==

Katika Wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani, kumekuwa na sintofahamu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambapo baadhi ya viongozi wa matawi na kata wamedai kusimamishwa kuendelea na nafasi zao kwa kile kinachodaiwa ni kutomuunga mkono Mbunge wa sasa wa Jimbo la Rufiji Mohamed Mchengerwa katika jimbo hilo ambalo limeonekana kuwavutia wanasiasa wengine.

Soma: CCM Rufiji kumpitisha Mchengerwa mgombea pekee

Akizungumza na Jambo TV, Ramadhan Kassim, aliyekuwa Katibu Mwenezi wa CCM Kata ya Mkongo, ambaye ni miongoni mwa waliodai kusimamishwa, amesema kuwa Katibu wa CCM Wilaya ya Rufiji alimsimamisha kutoka kwenye nafasi hiyo katika Mkutano Mkuu wa Halmashauri Kuu ya Kata ya Mkongo.

Ramadhan ameeleza kuwa hatua hiyo haikufuata taratibu za chama na ametoa wito kwa viongozi wa juu wa CCM kufika wilayani Rufiji ili kuchunguza suala hilo na kuhakikisha haki inatendeka kwa wote waliokumbwa na hali hiyo.

Sakata hili linatokea wakati joto la uchaguzi wa mwaka 2025 wa Urais, Ubunge na Udiwani likianza kuongezeka, ambapo wanasiasa mbalimbali wamekuwa wakionekana kupalilia njia kuelekea kuteuliwa na vyama vyao kugombea nafasi hizo wakati utakapofika.
View attachment 3245463
Acha waonyeshane nini maana ya ushindi wa mabao ya mkono,na engua engua.
 
Ila kati ya kitu nilichokuja kukishangaa ni huyo Mchengerwa kuwa Waziri.

Wakati nafanya kazi ya Uwakili hapo Dar miaka ya 2008-2012 huyo jamaa alikuwaga na kashfa kubwa sana za kula Rushwa akiwa Katibu wa Jaji Kiongozi (Jaji Jundu)

Nakumbuka watumishi wa Mahakama walisema kabisa baada ya Jaji Jundu kustaafu ilibidi jamaa a resign maana watu walipanga kumfungulia tuhuma nzito. Ila nchi yetu ilivyo ya hovyo jamaa ali resign Mahakama akiwa kapiga pesa za kutosha akaenda kugombea ubunge.

Mbaya zaidi amekuja kuwa Waziri. Sijui vetting ziliendaga wapi nchi hii!
 
Wakuu

Mnakumbuka sakata la CCM Rufiji kumpitisha Mchengerwa mgombea pekee?

Mapya yaibuka huko, panga limepita kwenye Chama

==

Katika Wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani, kumekuwa na sintofahamu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambapo baadhi ya viongozi wa matawi na kata wamedai kusimamishwa kuendelea na nafasi zao kwa kile kinachodaiwa ni kutomuunga mkono Mbunge wa sasa wa Jimbo la Rufiji Mohamed Mchengerwa katika jimbo hilo ambalo limeonekana kuwavutia wanasiasa wengine.

Soma: CCM Rufiji kumpitisha Mchengerwa mgombea pekee

Akizungumza na Jambo TV, Ramadhan Kassim, aliyekuwa Katibu Mwenezi wa CCM Kata ya Mkongo, ambaye ni miongoni mwa waliodai kusimamishwa, amesema kuwa Katibu wa CCM Wilaya ya Rufiji alimsimamisha kutoka kwenye nafasi hiyo katika Mkutano Mkuu wa Halmashauri Kuu ya Kata ya Mkongo.

Ramadhan ameeleza kuwa hatua hiyo haikufuata taratibu za chama na ametoa wito kwa viongozi wa juu wa CCM kufika wilayani Rufiji ili kuchunguza suala hilo na kuhakikisha haki inatendeka kwa wote waliokumbwa na hali hiyo.

Sakata hili linatokea wakati joto la uchaguzi wa mwaka 2025 wa Urais, Ubunge na Udiwani likianza kuongezeka, ambapo wanasiasa mbalimbali wamekuwa wakionekana kupalilia njia kuelekea kuteuliwa na vyama vyao kugombea nafasi hizo wakati utakapofika.
View attachment 3245463
Huyu alipewaje nafasi ya katibu mwenezi wa kata? Uwezo wake wa kujieleza ni mdogo kwa nafasi ya uenezi.
 
Wakuu

Mnakumbuka sakata la CCM Rufiji kumpitisha Mchengerwa mgombea pekee?

Mapya yaibuka huko, panga limepita kwenye Chama

==

Katika Wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani, kumekuwa na sintofahamu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambapo baadhi ya viongozi wa matawi na kata wamedai kusimamishwa kuendelea na nafasi zao kwa kile kinachodaiwa ni kutomuunga mkono Mbunge wa sasa wa Jimbo la Rufiji Mohamed Mchengerwa katika jimbo hilo ambalo limeonekana kuwavutia wanasiasa wengine.

Soma: CCM Rufiji kumpitisha Mchengerwa mgombea pekee

Akizungumza na Jambo TV, Ramadhan Kassim, aliyekuwa Katibu Mwenezi wa CCM Kata ya Mkongo, ambaye ni miongoni mwa waliodai kusimamishwa, amesema kuwa Katibu wa CCM Wilaya ya Rufiji alimsimamisha kutoka kwenye nafasi hiyo katika Mkutano Mkuu wa Halmashauri Kuu ya Kata ya Mkongo.

Ramadhan ameeleza kuwa hatua hiyo haikufuata taratibu za chama na ametoa wito kwa viongozi wa juu wa CCM kufika wilayani Rufiji ili kuchunguza suala hilo na kuhakikisha haki inatendeka kwa wote waliokumbwa na hali hiyo.

Sakata hili linatokea wakati joto la uchaguzi wa mwaka 2025 wa Urais, Ubunge na Udiwani likianza kuongezeka, ambapo wanasiasa mbalimbali wamekuwa wakionekana kupalilia njia kuelekea kuteuliwa na vyama vyao kugombea nafasi hizo wakati utakapofika.
View attachment 3245463
Kuna mamluki ndani ya CCM hapo Rufiji.....


Mh.Mchengerwa anachukiwa na baadhi ya wanachama ambao mioyo yao iko "CUF na ACT".....

Mh.Mchengerwa ni mzalendo ambaye hakufumbia macho kueleza ukweli wa ule UGAIDI wa Kibiti.....wanamchukia kwa UZALENDO WAKE MKUBWA......
 
Ila kati ya kitu nilichokuja kukishangaa ni huyo Mchengerwa kuwa Waziri.

Wakati nafanya kazi ya Uwakili hapo Dar miaka ya 2008-2012 huyo jamaa alikuwaga na kashfa kubwa sana za kula Rushwa akiwa Katibu wa Jaji Kiongozi (Jaji Jundu)

Nakumbuka watumishi wa Mahakama walisema kabisa baada ya Jaji Jundu kustaafu ilibidi jamaa a resign maana watu walipanga kumfungulia tuhuma nzito. Ila nchi yetu ilivyo ya hovyo jamaa ali resign Mahakama akiwa kapiga pesa za kutosha akaenda kugombea ubunge.

Mbaya zaidi amekuja kuwa Waziri. Sijui vetting ziliendaga wapi nchi hii!
Uongo mtupu....

Wakili kuwa mwongo ni aibu....

Kashfa zile za akina G.....t na M.....ne hazikumgusa mh.Mchengerwa....unafanya "unafanya tarnishing of other people's image" kisa siasa kinzani ?!!

Wakili mzima unazua uzushi koko....

Aibu hiyo wakili....
 
WanaCCM Rufiji wanalikumbuka lile sakata la migaidi ya MKIRU.....bila ya viongozi kusimama kidete magaidi wangeenea na kutuchinja nchi nzima.....mh.Mchengerwa ni mzalendo haswa.....ANA MAADUI WENGI....wengine wana chuki naye zenye msukumo wa KIGAIDI.....

Think thrice
 
Wakuu

Mnakumbuka sakata la CCM Rufiji kumpitisha Mchengerwa mgombea pekee?

Mapya yaibuka huko, panga limepita kwenye Chama

==

Katika Wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani, kumekuwa na sintofahamu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambapo baadhi ya viongozi wa matawi na kata wamedai kusimamishwa kuendelea na nafasi zao kwa kile kinachodaiwa ni kutomuunga mkono Mbunge wa sasa wa Jimbo la Rufiji Mohamed Mchengerwa katika jimbo hilo ambalo limeonekana kuwavutia wanasiasa wengine.

Soma: CCM Rufiji kumpitisha Mchengerwa mgombea pekee

Akizungumza na Jambo TV, Ramadhan Kassim, aliyekuwa Katibu Mwenezi wa CCM Kata ya Mkongo, ambaye ni miongoni mwa waliodai kusimamishwa, amesema kuwa Katibu wa CCM Wilaya ya Rufiji alimsimamisha kutoka kwenye nafasi hiyo katika Mkutano Mkuu wa Halmashauri Kuu ya Kata ya Mkongo.

Ramadhan ameeleza kuwa hatua hiyo haikufuata taratibu za chama na ametoa wito kwa viongozi wa juu wa CCM kufika wilayani Rufiji ili kuchunguza suala hilo na kuhakikisha haki inatendeka kwa wote waliokumbwa na hali hiyo.

Sakata hili linatokea wakati joto la uchaguzi wa mwaka 2025 wa Urais, Ubunge na Udiwani likianza kuongezeka, ambapo wanasiasa mbalimbali wamekuwa wakionekana kupalilia njia kuelekea kuteuliwa na vyama vyao kugombea nafasi hizo wakati utakapofika.
View attachment 3245463
Hapa acha waenguane hata ubongo,kwani wamesahau zile bao za mkono na engua engua,inaweza kuwa kurjuan imewafika hivi sasa.
 
Wakuu

Mnakumbuka sakata la CCM Rufiji kumpitisha Mchengerwa mgombea pekee?

Mapya yaibuka huko, panga limepita kwenye Chama

==

Katika Wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani, kumekuwa na sintofahamu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambapo baadhi ya viongozi wa matawi na kata wamedai kusimamishwa kuendelea na nafasi zao kwa kile kinachodaiwa ni kutomuunga mkono Mbunge wa sasa wa Jimbo la Rufiji Mohamed Mchengerwa katika jimbo hilo ambalo limeonekana kuwavutia wanasiasa wengine.

Soma: CCM Rufiji kumpitisha Mchengerwa mgombea pekee

Akizungumza na Jambo TV, Ramadhan Kassim, aliyekuwa Katibu Mwenezi wa CCM Kata ya Mkongo, ambaye ni miongoni mwa waliodai kusimamishwa, amesema kuwa Katibu wa CCM Wilaya ya Rufiji alimsimamisha kutoka kwenye nafasi hiyo katika Mkutano Mkuu wa Halmashauri Kuu ya Kata ya Mkongo.

Ramadhan ameeleza kuwa hatua hiyo haikufuata taratibu za chama na ametoa wito kwa viongozi wa juu wa CCM kufika wilayani Rufiji ili kuchunguza suala hilo na kuhakikisha haki inatendeka kwa wote waliokumbwa na hali hiyo.

Sakata hili linatokea wakati joto la uchaguzi wa mwaka 2025 wa Urais, Ubunge na Udiwani likianza kuongezeka, ambapo wanasiasa mbalimbali wamekuwa wakionekana kupalilia njia kuelekea kuteuliwa na vyama vyao kugombea nafasi hizo wakati utakapofika.
View attachment 3245463


Makundi ndani ya chama dola kongwe CCM, ufa unazidi kuonekana maeneo mbalimbali ya nchi ya Tanzania kama Muhoro, Ikwiriri, Rufiji, Mbwala n.k baada ya Mkutano Mkuu wa Chama Dodoma kuendeshwa kifamilia bila kufuata katiba, sheria na kanuni za chama hicho kikongwe
 
Uongo mtupu....

Wakili kuwa mwongo ni aibu....

Kashfa zile za akina G.....t na M.....ne hazikumgusa mh.Mchengerwa....unafanya "unafanya tarnishing of other people's image" kisa siasa kinzani ?!!

Wakili mzima unazua uzushi koko....

Aibu hiyo wakili....
Sijafanya tarnishing yeyote. Mtafutw mtumishi yeyote aliyefanya kazi Mahakama kuanzia 2006-2013 muulize kuhusu huyo Mchengerwa. Faili lake Mahakama lilikuwa chafu sana. Hata kuacha kwake kazi kulitokana na Mahakama kutaka kumchukulia hatua.
 
Sijafanya tarnishing yeyote. Mtafutw mtumishi yeyote aliyefanya kazi Mahakama kuanzia 2006-2013 muulize kuhusu huyo Mchengerwa. Faili lake Mahakama lilikuwa chafu sana. Hata kuacha kwake kazi kulitokana na Mahakama kutaka kumchukulia hatua.
Uongo mtupu....

Mahakama kwanini haikumfungulia mashtaka ?!!

Yaani jinai ife kisa mtu mtumishi kaacha kazi ?!!!

Wakili hebu kuwa serious kidogo.....
 
Back
Top Bottom