Mwizukulu wa Buganda
Senior Member
- Nov 19, 2024
- 150
- 413
Wakuu mvua ya leo kiboko, imeanza kunyesha kuanzisha jana usiku, tupo nayo mpaka sasa. Kama kawaida mvua kama hii ya mfululizo lazima iache madhara sehemu mbalimbali kama miundombinu kuharibika, foleni kuongezeka, watu kuchelewa kazini nk nk.
Vipi eneo ulililopo mvua haijaacha madhara? Tupia picha mamlaka zione
Huku Bonyokwa na milima yetu ni kuteleza tu
Vipi eneo ulililopo mvua haijaacha madhara? Tupia picha mamlaka zione
Huku Bonyokwa na milima yetu ni kuteleza tu