Ukiweza tatua na tatizo hili.kuto kufanya ni tatizo pia.Sijiendekezi mkuu nilikua napenda sana simalizi week bila kunyandua
Hongera sana Mwenyezi Mungu akulindeSalamaleko
Tumsifu yesu kristo.
Mnamo miezi kadhaa iliyopita tarehe kama ya leo nilinuia kuacha kabisa Uvutaji sigara na ulevi wa pombe. Na kupunguza au kupumzika kufanya ngono.
Na sasa nipo naendelea vizuri sana najisikia amani nina confidence ya hali ya juu naishi maisha yangu kawaida bila kuwaza hela ya kwenda kulukia viwanja.
Nashukuru Mungu niendeleee hivi hivi niache pombe na sigara na ngono mpaka kuoa.
🙏Amina coca
SafiAaah mkuu wacha nile 5 nione inakuwaga vipi lkn naona mwili na akili ina I Marika ssana
Mmh Umeanza lini kugawa baraka🤣🤣Barikiwa zaidi!