Muimbaji wa injili Goodluck achoma moto gari alilopewa zawadi na mchungaji

Tunzo

JF-Expert Member
Feb 1, 2013
4,080
2,400
Kuna video zinasambaa huko Yotube na ticktok ikionesha muimbaji wa Injili akichoma gari la alilopewa na mtumishi/mchungaji kama zawadi

Kuna moja nimeangalia anasema amechukua uamizi huo baada ya kugundua madhabahu hiyo haikua sahihi kwake

Haya, wenye imani zenu na pia je kisheria hili lipoje



Soma: Sio kosa mtu kuchoma mali yake
 
Mambo ni moto
 

Attachments

  • Screenshot_20250125-000941.jpg
    Screenshot_20250125-000941.jpg
    410.7 KB · Views: 4
Kuna video zinasambaa huko Yotube na ticktok ikionesha muimbaji wa Injili akichoma gari la alilopewa na mtumishi/mchungaji kama zawadi

Kuna moja nimeangalia anasema amechukua uamizi huo baada ya kugundua madhabahu hiyo haikua sahihi kwake

Haya, wenye imani zenu na pia je kisheria hili lipoje
Amshukuru Mungu kwa kumfunulia hilo.
Apambane kuikomboa nyota yake iliyoshikwa na ile madhabahu ya uwongo.
Ndomana tangu apewe zawadi amezimika kama mshumaa... Mungu amrehemu
 
Back
Top Bottom