Muajiriwa epuka kukopea mshahara kama dhamana mkopo kwa mambo 5

Covax

JF-Expert Member
Feb 15, 2021
10,120
35,066
Kila kitu kilikua kinaenda vizuri kama alivo mpanga kwasababu mshahara wake ulikua unamtosheleza mpaka pale alipo kopa 31m kufanikisha sherehe ya harusi yake, ili apate social class status kama workmate wenzie

Kinacho umiza na kusikitisha zaidi ni kuendelea kulipa deni litakalo endelea kwa miezi mingine 34, wakati mwanamke alisha file devorce papers mahakamani baada ya kugundua kwamba mwanaume alikua na mtoto nje af wakiume.

Ushauri wangu kwa waajiliwa ni hu usikopea mshahara wako kufanukisha mambo kama ya fuatayo:

1. Harusi/ndoa/mahare
2.Ada za shule za watoto
3.kufungulia mwanamke wako biashara
4. Kununua samani za ndani

5. Kufanya msiba au Dua ya 40.

Kwa uzoefu wangu wengi walio kopea kwa vitu kama hivyo wengi wana jutia na kua depressed na maisha hence umasikini wa kudumu.
 
BINAFSI

NILIKOPA MIKOPO MIWILI MMOJA ULE WA HAZINA NA MWINGINE NMB...INAISHA 2026 MWANZONI


BADO KUNA MAKAUSHA BLOOD YAPO HENCE TAKE HOME CHINI YA 300000

SIJUI LABDA KWA KUWA SINA FAMILIA KUBWA ILA NAONA MAISHA NI NEEMA TU ZA MUNGU ANATUBEBA SANA NIMEKATAA KABISA KUENDELEA KUWAZA MIKOPO AMBAYO ITAISHA TU MIDA WAKE..ILA KU TOP SITAJARIBU.


ILA PIA INATEGEMEA NA OFISI YENU..SISI TAASISI YETU PER DIEM ZAKE ZIKIFUATANA VIZURI UKAPIGWA ACTIVITY YA SIKU 10 NI SAWA NA UMELIPWA MISHAHARA YA MIEZI MITATU SASA KWANINI USIKOPE UFANYIE MAMBO YAKO GARI AU NYUMBA...KINGINE NI TUJIONGEZE TUSITEGEMEE SANA KAZI MOJA ULIYOAJIRIWA..
 
BINAFSI

NILIKOPA MIKOPO MIWILI MMOJA ULE WA HAZINA NA MWINGINE NMB...INAISHA 2026 MWANZONI


BADO KUNA MAKAUSHA BLOOD YAPO HENCE TAKE HOME CHINI YA 300000

SIJUI LABDA KWA KUWA SINA FAMILIA KUBWA ILA NAONA MAISHA NI NEEMA TU ZA MUNGU ANATUBEBA SANA NIMEKATAA KABISA KUENDELEA KUWAZA MIKOPO AMBAYO ITAISHA TU MIDA WAKE..ILA KU TOP SITAJARIBU.


ILA PIA INATEGEMEA NA OFISI YENU..SISI TAASISI YETU PER DIEM ZAKE ZIKIFUATANA VIZURI UKAPIGWA ACTIVITY YA SIKU 10 NI SAWA NA UMELIPWA MISHAHARA YA MIEZI MITATU SASA KWANINI USIKOPE UFANYIE MAMBO YAKO GARI AU NYUMBA...KINGINE NI TUJIONGEZE TUSITEGEMEE SANA KAZI MOJA ULIYOAJIRIWA..
Mkuu katika utumishi wako usipangie pardiem huo sio mshahara au kupanga mambo yako unategemea rushwa utafaili mkuu hizo ni favour huwezi kuzidai
 
Mimi sikubaliane na la kusema ndoa ni uhuni hapana ukipata mtu sahihi ndoa ni tamu sanaa ila ukikosea mtu utajutia ndoa bora ukoesa jambo lingine ila sio mke......
Kuna tofauti ya mke na kinachoitwa ndoa....Mke sio uhuni ila Ndoa ni #UHUNI
Mkuu mke utampata je bila ndoa, utambulisho ni jambo muhimu katika mahusiano, na utambulisho huo ndo mcgakato wa ndoa.


Mke si ana olewa mkuu!?Kuna kuoa na Kuna kufunga ndoa...
 
Mimi sikubaliane na la kusema ndoa ni uhuni hapana ukipata mtu sahihi ndoa ni tamu sanaa ila ukikosea mtu utajutia ndoa bora ukoesa jambo lingine ila sio mke......
Kuna tofauti ya mke na kinachoitwa ndoa....Mke sio uhuni ila Ndoa ni #UHUNI
Mkuu mke utampata je bila ndoa, utambulisho ni jambo muhimu katika mahusiano, na utambulisho huo ndo mcgakato wa ndoa.


Mke si ana olewa mkuu!?Kuna kuoa na Kuna kufunga ndoa
 
Kuna tofauti ya mke na kinachoitwa ndoa....Mke sio uhuni ila Ndoa ni #UHUNI



Mke si ana olewa mkuu!?Kuna kuoa na Kuna kufunga ndoa...
Tuelezee mchakato wako wa kuoa , kwasbabu kuoa sio tukio ni mchakato kuna mengi yanafanywa
 
Mkuu mke utampata je bila ndoa, utambulisho ni jambo muhimu katika mahusiano, na utambulisho huo ndo mcgakato wa ndoa.
Jamaa alikaa 17years na mwanamke bila kwenda kuharalisha kanisani kwa amanj na furaha sana. Ila baada ya kufunga hiyo ndoa na kuharalisha aisee miezi 6 baadaye jamaa akavunja ndoa
 
Back
Top Bottom