Mtu mwenye akili timamu anawezaje kushabikia Simba na Yanga na ligi ya Tanzania?

Shooter Again

JF-Expert Member
Sep 6, 2022
5,487
9,050
Huwa nashangaa sana unakuta watu mpaka wanapigana kisa simba na yanga aisee ukicheki maisha yamewachapa vibaya watanzania akili zero kabisa yaani timu zinacheza mpira kama wamasai wanavyorukaruka na hivyo viwanja wanavyochezea ni kama mashamba ya mpunga ni kichekesho sana kiufupi mtu anaehangaika mpira wa tanzania na kushangilia apimwe akili Sababu nilijaribu kufuatila soka la Tanzania nikagundua kuanzia hizi timu mpaka viwanja ni takataka
 
Huwa nashangaa sana unakuta watu mpaka wanapigana kisa simba na yanga aisee ukicheki maisha yamewachapa vibaya watanzania akili zero kabisa yaani timu zinacheza mpira kama wamasai wanavyorukaruka na hivyo viwanja wanavyochezea ni kama mashamba ya mpunga ni kichekesho sana kiufupi mtu anaehangaika mpira wa tanzania na kushangilia apimwe akili
Vipi mkuu, Yanga imeanza kushinda mechi zake tena nini? Maana sijafuatili Kitambo
 
Huwa nashangaa sana unakuta watu mpaka wanapigana kisa simba na yanga aisee ukicheki maisha yamewachapa vibaya watanzania akili zero kabisa yaani timu zinacheza mpira kama wamasai wanavyorukaruka na hivyo viwanja wanavyochezea ni kama mashamba ya mpunga ni kichekesho sana kiufupi mtu anaehangaika mpira wa tanzania na kushangilia apimwe akili
Upo sahihi kabisa.Na,mimi nashauri usishabikie kabisa.
NB;Tuwe tunakumbuka kuandika kwa kufuata misingi bora ya uandishi.
 
Huwa nashangaa sana unakuta watu mpaka wanapigana kisa simba na yanga aisee ukicheki maisha yamewachapa vibaya watanzania akili zero kabisa yaani timu zinacheza mpira kama wamasai wanavyorukaruka na hivyo viwanja wanavyochezea ni kama mashamba ya mpunga ni kichekesho sana kiufupi mtu anaehangaika mpira wa tanzania na kushangilia apimwe akili

Mimi naweza kukuelewa. Wakati niko mtoto nilikuwa napenda sana mpira tena nakwenda kabisa uwanjani. Kama 1993 hivi nilienda uwanja wa taifa nikaangalia mechi mpira ukaisha. Vibaka wakapita wakapora watu, nika porwa saa na hela.
Hapo narudi Mwenge kutoka Taifa.
Baada ya hapo niakaanza kuangalia ligi ya uingereza kwenye TV. Kwa kweli nilihisi ule mpira wetu ni maigizo. Nikafikiria na maoteso ya kwenda uwanjani kuona hayo maigizo. Kwa akili za kawaida nikaona ni afhadali kulipia DSTV niangalie mpira wa maana kuliko kwenda kuona maigizo kwa mateso.
Nikawa member DSTV since 1993/4 mpaka leo. Simba na Yanga nasikiliza redioni tu.

Ila nakiri kuna ahueni kidogo kwenye profesionalism level ya mpira wetu kwa sasa kuliko miaka kadhaa nyuma
 
Mimi naweza kukuelewa. Wakati niko mtoto nilikuwa napenda sana mpira tena nakwenda kabisa uwanjani. Kama 1993 hivi nilienda uwanja wa taifa nikaangalia mechi mpira ukaisha. Vibaka wakapita wakapora watu, nika porwa saa na hela.
Hapo narudi Mwenge kutoka Taifa.
Baada ya hapo niakaanza kuangalia ligi ya uingereza kwenye TV. Kwa kweli nilihisi ule mpira wetu ni maigizo. Nikafikiria na maoteso ya kwenda uwanjani kuona hayo maigizo. Kwa akili za kawaida nikaona ni afhadali kulipia DSTV niangalie mpira wa maana kuliko kwenda kuona maigizo kwa mateso.
Nikawa member DSTV since 1993/4 mpaka leo. Simba na Yanga nasikiliza redioni tu.
Wewe unaakili nyingi sana
 
Back
Top Bottom