Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,870
- 34,357
M-Tanzania Mkaazi wa Mjini Tanga auliwa kwa Kupigwa Risasi na Polisi wa Afrika ya kusini.
Kwani kafanya nini mpaka apigwe lisasi?M-Tanzania Mkaazi wa Mjini Tanga auliwa kwa Kupigwa Risasi na Polisi wa Afrika ya kusini.
View attachment 2484855
View attachment 2484862
View attachment 2484871
View attachment 2484902
View attachment 2484908
View attachment 2484916
Maana yakeWabongo kwenye lugha tunachemka sana.
Nb: ukienda Dzonga kaa mbali na watanzania. Ukimwambia mtu wa South kuwa we ni Mtanzani anaanza kusema" tsotsi, tsotsi, tsotsi".
Mwizi.Maana yake
Duh!..noma hiiWabongo kwenye lugha tunachemka sana.
Nb: ukienda Dzonga kaa mbali na watanzania. Ukimwambia mtu wa South kuwa we ni Mtanzani anaanza kusema" tsotsi, tsotsi, tsotsi".
M-Tanzania Mkaazi wa Mjini Tanga auliwa kwa Kupigwa Risasi na Polisi wa Afrika ya kusini.
View attachment 2484855
View attachment 2484862
View attachment 2484871
View attachment 2484902
View attachment 2484908
View attachment 2484916
Balozi wetu ndy nuksi Namba Moja .Inasikitisha sana,hivi kwenye scenario kama hizi balozi zetu huwa zinasaidia kweli?.
Wasouth wanasahau Tanzania ilivyokua front line kupigania uhuru wao , wapiganaji na wanaharakati wa kisouth walipata kimbilio huku
ila pia hilo ni fundisho kwa wabongo ni mara ngapi wabongo wamechomwa moto huko south makosa hayajulikani , pia kuuawa kama huyo janja .
Jamani tutulie nchini kwetu , tutafute hela huku huku.
Kazi tu kupeleka udaga na gold ndo mnajua , , kufeni sasa mtuache na Tanzania yetu
Huo ndo utabaki kua wimbo wa kila siku, kusaidia mtu haihalalishe mtu kufanya uhalifu, mbona sisi masikini wa kupindukia wakati tulio wasaidia wako vizuri huo ndo ujinga wa wabongo, Tanzania ndo inaongeza katika kanda ya africa ya kusini kua na watu wajinga wenye elimu duni.Wasouth wanasahau Tanzania ilivyokua front line kupigania uhuru wao , wapiganaji na wanaharakati wa kisouth walipata kimbilio huku
ila pia hilo ni fundisho kwa wabongo ni mara ngapi wabongo wamechomwa moto huko south makosa hayajulikani , pia kuuawa kama huyo janja .
Jamani tutulie nchini kwetu , tutafute hela huku huku.
Kazi tu kupeleka udaga na gold ndo mnajua , , kufeni sasa mtuache na Tanzania yetu
Wasouth wameendelea wapii? Lengo la Madiba kuwabakisha makaburu inalijua ww.Huo ndo utabaki kua wimbo wa kila siku, kusaidia mtu haihalalishe mtu kufanya uhalifu, mbona sisi masikini wa kupindukia wakati tulio wasaidia wako vizuri huo ndo ujinga wa wabongo, Tanzania ndo inaongeza katika kanda ya africa ya kusini kua na watu wajinga wenye elimu duni.