Msigwa atupa dongo kwa Mbowe baada ya kushindwa Uchaguzi CHADEMA asema "Shimo alilonichimbia mimi ametumbukia mwenyewe"

Waufukweni

JF-Expert Member
May 16, 2024
1,683
4,514
Mchungaji Peter Msigwa, ambaye ni mbunge wa zamani wa jimbo la Iringa Mjini kwa tiketi ya CHADEMA na sasa mwanachama wa CCM, ametupa dongo mtandaoni kwa Freeman Mbowe kufuatia kushindwa kwake katika uchaguzi wa ndani wa CHADEMA.
1737532346092.png
Kupitia ukurasa wake wa X (zamani Twitter), Msigwa ameandika:

"Sinema ilianzia kanda ya Nyasa. Shimo alilonichimbia mimi ametumbukia mwenyewe. Mungu huwa anajibu maombi!"

Screenshot 2025-01-22 104456.png
Soma, Pia:
 
Tangu Mchungaji Peter Msigwa akihame chame chake cha CHADEMA amejipambanua zaidi kwa kujikita katika kuishambulia CHADEMA kupitia Freeman Mbowe akimtwisha ubaya wote wa CHADEMA hadi kufikia kumuita Nkurunzinza, sasa baada ya Mbowe kuangushwa na rafiki yake Tundu Lissu je ataendelea kuishambulia CHADEMA?
 
Back
Top Bottom