@Mpwayungu Village njoo kuna mwalimu amepata ajira mpya anaulizia mshahara wake. Mpe ushauri.Naomba kujua kwa mwalimu mwenye degee anapoanza kazi mshahara wake ni Tsh ngapi na makato ni kiasi gani na take home inakua ni Tsh ngapi?
Degree?
Ndiyo, Ila sa hv wameongezewa kidog Kwa Yule anayeanzaDegree?
Specify n Arts or science ndo tukupe jibu zuriNaomba kujua kwa mwalimu mwenye degee anapoanza kazi mshahara wake ni Tsh ngapi na makato ni kiasi gani na take home inakua ni Tsh ngapi?
Upo sahihi huwa ni hiyo 530K as take home mpaka 570K kama ana mkopoKama hana makato ya heslb nadhani ni 650+ kama ana makato heslb ni 530+
Kuna mkeka niliona mahali!!
Naomba kujua kwa mwalimu mwenye degee anapoanza kazi mshahara wake ni Tsh ngapi na makato ni kiasi gani na take home inakua ni Tsh ngapi?
Malofer haya yanajiendea tu kama gari bovu@Mpwayungu Village njoo kuna mwalimu amepata ajira mpya anaulizia mshahara wake. Mpe ushauri.
Ukatili huuView attachment 2647738
Nahiyo ni CHAKUHAWATA ukiwa CWT tegemea kukombwa pesa ya maana wanaharamu nyie
Watu kama nyie unakuta mna shida hadi mindukuni!ila mnavyojishaua sasa.hivi mwl wa daraja F au H unakunja bei gani unazani.tatizo mnataka utajiri wa haraka haraka kwa virushwa vya kipumbavu na vinaishia baa halafu mnajiona wajanjaa!Mpwayungu Village walimu walikufanya nini?
kuna dogo flani nilimuuliza unataka kuja kuwa nani akanambia anataka kuwa mwalimu, nilicheka sana. Matokeo ya 4m4 yametoka kala zero safi kbsa, naona Mungu kamuepusha na laana mapema.
Acha kumkatisha tamaa,familia nzima inaenda kupona hapo.Malofer haya yanajiendea tu kama gari bovu
Mtu akiwa nje ya box,hasira na chuki zinakuw nyingi sabab hajapata chance.Naishi nao walimu wanamaisha mazuri sana ,mishahara+kujiingiza kwenye business most of them wana drive tena sio cheapWatu kama nyie unakuta mna shida hadi mindukuni!ila mnavyojishaua sasa.hivi mwl wa daraja F au H unakunja bei gani unazani.tatizo mnataka utajiri wa haraka haraka kwa virushwa vya kipumbavu na vinaishia baa halafu mnajiona wajanjaa!
Mpwayungu Village ebu njoo utoe ufafanuzi hapaNaomba kujua kwa mwalimu mwenye degee anapoanza kazi mshahara wake ni Tsh ngapi na makato ni kiasi gani na take home inakua ni Tsh ngapi?
Walimu Walimt*mberMpwayungu Village walimu walikufanya nini?
kuna dogo flani nilimuuliza unataka kuja kuwa nani akanambia anataka kuwa mwalimu, nilicheka sana. Matokeo ya 4m4 yametoka kala zero safi kbsa, naona Mungu kamuepusha na laana mapema.