Msemaji Mkuu wa Serikali Mobhare Matinyi kuzungumza na Waandishi wa Habari leo 26/5/2024 7:30 mchana

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Jan 12, 2019
363
433
Msemaji Mkuu wa Serikali Ndugu Mobhare Matinyi leo Jumapili Mei 26, 2024 atazungumza na Waandishi wa Habari kufikisha ujumbe kwa Taifa kuhusu masuala mbalimbali. Ni kuanzia 7:30 mchana kwenye Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro, Arusha. Usikose kufuatilia kupitia Televisheni mbalimbali kujua masuala mbalimbali ya Taifa.

IMG-20240526-WA0029.jpg


PIA, SOMA:
-
Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi: Kaya 1,373 zenye Watu 8,364 zimeshahama Ngorongoro kufikia Aprili 2024
 
Msemaji Mkuu wa Serikali Ndugu Mobhare Matinyi leo Jumapili Mei 26, 2024 atazungumza na Waandishi wa Habari kufikisha ujumbe kwa Taifa kuhusu masuala mbalimbali. Ni kuanzia 7:30 mchana kwenye Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro, Arusha. Usikose kufuatilia kupitia Televisheni mbalimbali kujua masuala mbalimbali ya Taifa.
Asisahau na suala la Bandari.
Kilimanjaro International Airport
Ardhi yetu kuuzwa kwa Waarabu
Makonda kumdhalilisha wanawake
Wapemba kumiliki ardhi Tanganyika
Katiba mpya.
Zanzibar na wabunge 80.
Kikokoto
Wazanzibari kufanya kazi Tanganyika
Kura ya maoni kuhusu muungano


Kama hawezi kudadavu haya bora akae na mke wake asitusumbue.
 
Msemaji Mkuu wa Serikali Ndugu Mobhare Matinyi leo Jumapili Mei 26, 2024 atazungumza na Waandishi wa Habari kufikisha ujumbe kwa Taifa kuhusu masuala mbalimbali. Ni kuanzia 7:30 mchana kwenye Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro, Arusha. Usikose kufuatilia kupitia Televisheni mbalimbali kujua masuala mbalimbali ya Taifa.
hana lolote la maana atalizungumzia, rubbish tu! Kinywa cha bunduki hakijawahi toka na kauli nzuri kikifunguka (methali ya kabila fulani)
 
Msemaji Mkuu wa Serikali Ndugu Mobhare Matinyi leo Jumapili Mei 26, 2024 atazungumza na Waandishi wa Habari kufikisha ujumbe kwa Taifa kuhusu masuala mbalimbali. Ni kuanzia 7:30 mchana kwenye Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro, Arusha. Usikose kufuatilia kupitia Televisheni mbalimbali kujua masuala mbalimbali ya Taifa.

Asante kwa taarifa, lakini sidhani kama ana jipya.
 
Asisahau na suala la Bandari.
Kilimanjaro International Airport
Ardhi yetu kuuzwa kwa Waarabu
Makonda kumdhalilisha wanawake
Wapemba kumiliki ardhi Tanganyika
Katiba mpya.
Zanzibar na wabunge 80.
Kikokoto
Wazanzibari kufanya kazi Tanganyika
Kura ya maoni kuhusu muungano


Kama hawezi kudadavu haya bora akae na mke wake asitusumbue.
Hayo ndiyo masuala mbalimbali Kwa taifa kwa sasa. Tofauti ya hayo, naunga mkono, apumzike na familia kumalizia weekend yake.
 
Msemaji Mkuu wa Serikali Ndugu Mobhare Matinyi leo Jumapili Mei 26, 2024 atazungumza na Waandishi wa Habari kufikisha ujumbe kwa Taifa kuhusu masuala mbalimbali. Ni kuanzia 7:30 mchana kwenye Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro, Arusha. Usikose kufuatilia kupitia Televisheni mbalimbali kujua masuala mbalimbali ya Taifa.
Hana jipya huyu kada wa CCM
 
Back
Top Bottom