Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,765
- 6,195
Wakuu..!!
Kama mnavyojua sasa Serikali ipo kiganjani kwa kuthibitisha hilo, kwa upande wa utumishi wa Umma
mambo yote ya kiutumishi yanafanyika kupitia mtandao(ESS).
Hivyo basi nimejaribu kufungua/kupakua "user manuals" zinazohuhusu uhamisho wa watumishi ila mfumo unagoma.
Bila shaka humu kuna HRs wa taasisi mbalimbali hapa nchini.
Shida yangu kubwa ni kupata "User Manuals" for
1. EXCHANGE TRANSFER USER
MANUAL FOR EMPLOYEES
2. STEP BY STEP TO CREATE
TRANSFER IN ESS.
Kama mnavyojua sasa Serikali ipo kiganjani kwa kuthibitisha hilo, kwa upande wa utumishi wa Umma
mambo yote ya kiutumishi yanafanyika kupitia mtandao(ESS).
Hivyo basi nimejaribu kufungua/kupakua "user manuals" zinazohuhusu uhamisho wa watumishi ila mfumo unagoma.
Bila shaka humu kuna HRs wa taasisi mbalimbali hapa nchini.
Shida yangu kubwa ni kupata "User Manuals" for
1. EXCHANGE TRANSFER USER
MANUAL FOR EMPLOYEES
2. STEP BY STEP TO CREATE
TRANSFER IN ESS.