sulejman
Member
- Jun 25, 2016
- 35
- 30
Habari za mchana.
Natumaini mko na afya njema.
Nahitaji kujua napata wapi usafiri (basi) wa kwenda Lindi kutokea Dar es Salaam, najua humu kuna watu wengi na wenye maarifa mengi hivyo nimeona niwashirikishe kwa faida yangu na wengine.
NB: Nikipata taarifa kampuni gani iko vizur na bei zake nitashukuru zaidi
Natanguliza shukrani.
Natumaini mko na afya njema.
Nahitaji kujua napata wapi usafiri (basi) wa kwenda Lindi kutokea Dar es Salaam, najua humu kuna watu wengi na wenye maarifa mengi hivyo nimeona niwashirikishe kwa faida yangu na wengine.
NB: Nikipata taarifa kampuni gani iko vizur na bei zake nitashukuru zaidi
Natanguliza shukrani.