Umuzukuru
JF-Expert Member
- May 30, 2019
- 617
- 551
Habari wakuu,
Ngoja nisipoteze muda nahitaji msaada wa pendekezo la course ya kusoma chuo kati ya hizi zifuatazo:
1. BSc. Land management and valuation-Ardhi University
2. BA. Economics-Aru or Udsm
3. BSc. Accounting and Finance
4. Road and railway in logistics(Shipping operational road and railway in logistics)-NIT
NB: Dogo naona anaprefer zaidi course namba 1&4.
Kwahiyo naomba maoni yenu kijumla juu ya hizo koz wakuu
Nawasilisha
Ngoja nisipoteze muda nahitaji msaada wa pendekezo la course ya kusoma chuo kati ya hizi zifuatazo:
1. BSc. Land management and valuation-Ardhi University
2. BA. Economics-Aru or Udsm
3. BSc. Accounting and Finance
4. Road and railway in logistics(Shipping operational road and railway in logistics)-NIT
NB: Dogo naona anaprefer zaidi course namba 1&4.
Kwahiyo naomba maoni yenu kijumla juu ya hizo koz wakuu
Nawasilisha