Kwa form four mkuu nilifaulu vizuri sana masomo yote ya science mathematics B, PhysicsB, chemistry C, na Biology B niliharibu advance mkuu maana nilichaguliwa pcb lakini nikasoma mda wa miezi mitatu nikaona mwalimu haeleweki nikamua kubadili na kuchukua pcmPass marks kwa four zipoje upande wa science subiri mwezi wa tano Technical colleges watafungua milango kwa pre entry candidates ambapo ina take around wiki nane mpaka kumi ukipita apo uta join ordinary diploma Three years then degree Usikate tamaa ndugu
Sawa mkuu kama ni hivo basi vuta subira mpaka mwezi wa tano vyuo vitakuwa openKwa form four mkuu nilifaulu vizuri sana masomo yote ya science mathematics B, PhysicsB, chemistry C, na Biology B niliharibu advance mkuu Amana nilichaguliwa pcb lakini nikasoma mda wa miezi mitatu nikaona mwalimu haeleweki nikamua kubadili na kuchukua pcm
Mkuu ni mwezi wapili au watano maana nilipata taarifa pale DIT wanasema ni wapiliPass marks kwa four zipoje upande wa science subiri mwezi wa tano Technical colleges watafungua milango kwa pre entry candidates ambapo ina take around wiki nane mpaka kumi ukipita apo uta join ordinary diploma Three years then degree Usikate tamaa ndugu
Mwaka jana ilikuwa watano, Ww pia ni miongoni?Mkuu ni mwezi wapili au watano maana nilipata taarifa pale DIT wanasema ni wapili
Pumbavu kabsa una maksi nzuri hvyo za physics, mathematics na chemistry halafu bado hujaenda chuo jweli unapoteza mda kitaa subiri kdogo anza kuangalia vyuo vinavyoanza kupokea wanafunzi usicheze mbali na networkKwa form four mkuu nilifaulu vizuri sana masomo yote ya science mathematics B, PhysicsB, chemistry C, na Biology B niliharibu advance mkuu maana nilichaguliwa pcb lakini nikasoma mda wa miezi mitatu nikaona mwalimu haeleweki nikamua kubadili na kuchukua pcm
Dah! Mkuu nilipumbazika na viajira vya kitaa maana nilibahatika kupata kazi mgodini lakini kibarua kimeisha hivyo sina namna zaidi ya kujiboresha ili nipate kazi mmbadara maana kazi za mgodini ni nguvu tu wala akili haihitajiki ndio maana nimeonelea nijiboreshe kwani unakuta unyanyaswa na mtu wa certificatePumbavu kabsa una maksi nzuri hvyo za physics, mathematics na chemistry halafu bado hujaenda chuo jweli unapoteza mda kitaa subiri kdogo anza kuangalia vyuo vinavyoanza kupokea wanafunzi usicheze mbali na network
Kukaa home sio sifa na wakat una matokeo mazuri na yule wa Zero afanye nini???
Tafuta chuo nw upige uhandisi was majengo,umeme,maji etc au kozi unayopenda biashara uje usome kjanaDah! Mkuu nilipumbazika na viajira vya kitaa maana nilibahatika kupata kazi mgodini lakini kibarua kimeisha hivyo sina namna zaidi ya kujiboresha ili nipate kazi mmbadara maana kazi za mgodini ni nguvu tu wala akili haihitajiki ndio maana nimeonelea nijiboreshe kwani unakuta unyanyaswa na mtu wa certificate
Pumbavu kabsa una maksi nzuri hvyo za physics, mathematics na chemistry halafu bado hujaenda chuo jweli unapoteza mda kitaa subiri kdogo anza kuangalia vyuo vinavyoanza kupokea wanafunzi usicheze mbali na network
Kukaa home sio sifa na wakat una matokeo mazuri na yule wa Zero afanye nini???
Vyuo vpo vya kutosha ni we tu kuchagua na kuapply mida ikifikaMaji au umeme ndipo patamu mkuu Kikubwa nahitaji chuo kizuri cha serikali maana vya private bei yao inasumbua.
Unataka kusomea nn tena mkuu....Msaidie mkuu kama una uwezo inawezekana hana uwezo wa kupata info za vyuo kutokana na kuwa kwenye remote areas na kukosa mtu wa kumuongoza vizuri kwenye mafanikio. Mimi mwenyewe ni muhanga wa hiyo hali, kutokana na kukosa guidence nzuri na uwezo mdogo wa kiuchumi nilijikuta nikisoma masomo ya arts advance huku nikiwa nimebalance CBG, ningepata wa kuniongoza vizur muda huo nafikiri ni bora nisingeendelea advance kwa HKL bora ningeenda kwenye vyuo nikasoma certificate au diploma kozi za science. Lakini ninapoandika hivi nimeishia kuwa mwalimu wa masomo ya sanaa na maisha ni magumu balaa. Ngoja tu niishie hapa.
Pole sana Mkuu unaweza Kutumia hats cheti cha form 4 kuomba kozi za afya au mifugo hats certificate no nzuri kuliko huo ualimu mungu akuongozeMsaidie mkuu kama una uwezo inawezekana hana uwezo wa kupata info za vyuo kutokana na kuwa kwenye remote areas na kukosa mtu wa kumuongoza vizuri kwenye mafanikio. Mimi mwenyewe ni muhanga wa hiyo hali, kutokana na kukosa guidence nzuri na uwezo mdogo wa kiuchumi nilijikuta nikisoma masomo ya arts advance huku nikiwa nimebalance CBG, ningepata wa kuniongoza vizur muda huo nafikiri ni bora nisingeendelea advance kwa HKL bora ningeenda kwenye vyuo nikasoma certificate au diploma kozi za science. Lakini ninapoandika hivi nimeishia kuwa mwalimu wa masomo ya sanaa na maisha ni magumu balaa. Ngoja tu niishie hapa.
Afya mwezi Wa 2 nimesikiaKama nilivyoelezea hapo juu mimi nilihitimu elimu ya kidato cha sita mwaka 2009 nikiwa na chukua PCM.
Bahati mbaya sikubahatika kufaulu vizuri maana nilipata "E" ya mathematics tu mengine nilifeli na kupata div four ya 19 hivyo naombeni msaada wenu.
Maana kukaa na kuajiriwa nimechoka nataka kijiboresha zaidi ikiwezekana hata kutumia matokeo ya form four maana nilifaulu vizuri kwa kupata div III ya point 18 hii ilitokana na kupigwa penalty ya civics japo kiuhalisia ni div II tafadhalini sana naombeni msaada wenu.
Ni pm tuelezane pa kuanzia.Kama nilivyoelezea hapo juu mimi nilihitimu elimu ya kidato cha sita mwaka 2009 nikiwa na chukua PCM.
Bahati mbaya sikubahatika kufaulu vizuri maana nilipata "E" ya mathematics tu mengine nilifeli na kupata div four ya 19 hivyo naombeni msaada wenu.
Maana kukaa na kuajiriwa nimechoka nataka kijiboresha zaidi ikiwezekana hata kutumia matokeo ya form four maana nilifaulu vizuri kwa kupata div III ya point 18 hii ilitokana na kupigwa penalty ya civics japo kiuhalisia ni div II tafadhalini sana naombeni msaada wenu.