Mke wangu ananitesa
Member
- Jan 14, 2025
- 31
- 62
Nianze kwa salaam
Natumai wote wazima, ningependa niende Moja kwa Moja kwenye mada ambapo nilikua naomba mnisaidie katiba na memorandum ya mtu mwenye ulemavu katika mikopo ya halmashauri nimejaribu kwenda kwa mawakili lakin wanataka hela nyingi na uwezo huo Sina
Hivo nikaona nije hapa JF Kuna wataalamu wengi watanisaidie kuipata walau soft copy na ntaedit baadhi ya maeneo kabla ya kuiprint
NB: NAOMBA IWE YA MTU MMOJA SIO KUNDI
Asnte sana
Natumai wote wazima, ningependa niende Moja kwa Moja kwenye mada ambapo nilikua naomba mnisaidie katiba na memorandum ya mtu mwenye ulemavu katika mikopo ya halmashauri nimejaribu kwenda kwa mawakili lakin wanataka hela nyingi na uwezo huo Sina
Hivo nikaona nije hapa JF Kuna wataalamu wengi watanisaidie kuipata walau soft copy na ntaedit baadhi ya maeneo kabla ya kuiprint
NB: NAOMBA IWE YA MTU MMOJA SIO KUNDI
Asnte sana