Habari wadau,
Nimekwama hapa, mana hakuna check engine light inayowaka.
Gari inalia knock kwa mbali lakini nikiwa naendesha, huwa inapotea, ila nikisimama naanza kusikia mlio wa knock. Saa nyengine nikiwa idle, hakuna mlio wa knock kabisa, engine inanguruma vizuri tu, na sometime ikiwa idle, inaweza ikaja ikisha ikaondoka inajirudia ivo mpaka itanyamaza na kuwa normal kabisa.
Sasa nimeona nianze na spark, nimezitoa, nikazipiga msasa (lengo ni kujua kama ni detonation nockk au mechanical knock)nikazirudisha, ikapotea moja kwa moja, nimeendesha gari kama wiki ivi under normal driving, haikurudi. ila leo nikasema niikanyage, ebana wee, kusimama tu ile knock ikaja tena, halafu ikapotea. nikazitoa plug nikazipiga tena msasa (najua haitakiwi kuzipiga msasa lakini ndio diagnosis ya chini ya muembe kwanza) ikatulia, nikaendesha kama 15km normal driving, ishu imerudi tena ikafanya kulia kama mara 2 au 3 ivi ikakata. Nikasema isiwe tabu, nikatia plug mpya, ikawa kimya baada ya mda inalia tena.
ingekuwa knock ya kwamba labda piston aur bearing imeenda zake, basi mlio ungekuwa unaendelea kila nikiendesha, lakini huu mlio mara unaondoka na mara unarudi. Na nina uhakika unatokea kwenye engine maana nimetega sikio vizuri.
Note: Haiwaki check engine na engine sijaona iki loose power. Mlio unatoka juu kwenye mashine.
Engine ni 2grfse.
Nimekwama hapa, mana hakuna check engine light inayowaka.
Gari inalia knock kwa mbali lakini nikiwa naendesha, huwa inapotea, ila nikisimama naanza kusikia mlio wa knock. Saa nyengine nikiwa idle, hakuna mlio wa knock kabisa, engine inanguruma vizuri tu, na sometime ikiwa idle, inaweza ikaja ikisha ikaondoka inajirudia ivo mpaka itanyamaza na kuwa normal kabisa.
Sasa nimeona nianze na spark, nimezitoa, nikazipiga msasa (lengo ni kujua kama ni detonation nockk au mechanical knock)nikazirudisha, ikapotea moja kwa moja, nimeendesha gari kama wiki ivi under normal driving, haikurudi. ila leo nikasema niikanyage, ebana wee, kusimama tu ile knock ikaja tena, halafu ikapotea. nikazitoa plug nikazipiga tena msasa (najua haitakiwi kuzipiga msasa lakini ndio diagnosis ya chini ya muembe kwanza) ikatulia, nikaendesha kama 15km normal driving, ishu imerudi tena ikafanya kulia kama mara 2 au 3 ivi ikakata. Nikasema isiwe tabu, nikatia plug mpya, ikawa kimya baada ya mda inalia tena.
ingekuwa knock ya kwamba labda piston aur bearing imeenda zake, basi mlio ungekuwa unaendelea kila nikiendesha, lakini huu mlio mara unaondoka na mara unarudi. Na nina uhakika unatokea kwenye engine maana nimetega sikio vizuri.
Note: Haiwaki check engine na engine sijaona iki loose power. Mlio unatoka juu kwenye mashine.
Engine ni 2grfse.