rhetoric ni kusema kwa kutia madoido au kutia chmvi katika usemaji (balagha)
tramatize -uzi wa uhariri
nadhani ntakuwa nimekusaidia kwa kiasi fulani kwa sababu mara nyingi maneno hutumika kulingana na mazingira hivyo sijajua upo katikamazingira yapi bt hiyo ni maana ya jumla au msingi