Msaada: Shule ya bweni/day yenye ada chini ya laki 7 iliyopo Dar,Tanga au Pwani

Kijana Jr

JF-Expert Member
May 12, 2016
560
845
Wakuu naomba msaada kwa mwenye ujuzi na hili,

Naulizia Shule ya bweni/day yenye ada nafuu sana, kuanzia laki 7 kushuka chini ambayo nitaweza kumsomesha kijana wangu kuanzia form 2 mpaka4 Iwe ya Boys, au boys na girls
Iwe maeneo ya dar,tanga,pwani
Asanteni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…