D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,524
- 3,901
Wakuu naomba msaada kwa anayeifahamu shule nzuri ya secondary yenye ada nafuu kwa hapa DARESALAAM.
Mtoto ni wa kiume Mkinitajia na gharama zake ntashukuru zaidi.
Ahsante
Mtoto ni wa kiume Mkinitajia na gharama zake ntashukuru zaidi.
Ahsante