msaada please????

emike

JF-Expert Member
Sep 13, 2011
345
109
wajuzi wa it,browsers zote kwenye laptop yangu yaani mozilla,ie,opera na google chrome hazifungui kabisa websites muhimu kama google.com,youtube, gmail etc lakini inafungua nyingine kama google.co.tz, na nyinginezo tafadhali nijuzeni njia ya ku solve tatizo hilo.natanguliza shukurani zangu
 
Kuna mambo mengi yanayoweza kusababisha hiyo. Angalia lipi kati ya haya linakuhusu
1. Unaweza kuwa na spyware au malware scan computer kwa hili
2. Je unatumia connection gani? Kama ni connection tu ya nyumbani hakikisha firewall yako haijablock hizo sites unazojaribu ku visit. Kama ni connection ambayo huna access na hili linaweza kuwa ngumu
3. Network unayotumia inaweza kuwa inakataza watu kutembelea hizo sites
4. Internet settings zako zinaweza kuwa zimefurugwa kwahiyo ziri-set back kwenye default

Sijui mengine labda watu wachangie zaidi
 
Nadhani DNS unayotumia haifanyi kazi andika 209.85.173.147 kwenye sehemu ya address kwenye browser yako.
 
ukifungua mozilla nenda kwenye tools, click clear recent history
ikifunguka chagua everything halafu click Clear Now
ukimaliza jaribu tena hizo sites.
halafu tupe feedback kwa kila ushauri uliopewa
 
haha cheki toolbars au kama unatumia vpn au proxies ambazo google wameziban mimi lilitokea hilo suala nkafuta vitu hivo apo juu now fresh
 
haha cheki toolbars au kama unatumia vpn au proxies ambazo google wameziban mimi lilitokea hilo suala nkafuta vitu hivo apo juu now fresh

nimejaribu ushauri walionipa jamaa wengine hapo juu bila mafanikio, tafadhali nijuze njia ya kufuta hizo proxies na vpn ie. Naomba unipe instructions siyo maelezo, natanguliza shukrani
 
Angalia hosts file yaho ikoje C:\windows\system32\drivers\etc inawezekana kuna program nayo write some routines ili kublock port 80.
 
nimejaribu ushauri walionipa jamaa wengine hapo juu bila mafanikio, tafadhali nijuze njia ya kufuta hizo proxies na vpn ie. Naomba unipe instructions siyo maelezo, natanguliza shukrani

ok ngoja nkuulize swali ushawahi tumia trick za free internet za humu ndan? Au za site yoyote zilizotaka udownload software?
 
Angalia hosts file yaho ikoje C:\windows\system32\drivers\etc inawezekana kuna program nayo write some routines ili kublock port 80.

tafadhani nijuze ni jinsi gani ya kuijua hiyo program na kwa sababu mimi siyo tech guy ningeshukuru kama msaada ungekuwa kwa njia ya instructions kama hivi ingia kwenye my computer bonya hardisc etc etc?????
 
The simplest solution! Go to control panel and create a new account. Log off and login to this new account. Copy all your files(my documents and desktop) to this new account. Go to the control panel and delete the old account. You are good to go!
 
tafadhani nijuze ni jinsi gani ya kuijua hiyo program na kwa sababu mimi siyo tech guy ningeshukuru kama msaada ungekuwa kwa njia ya instructions kama hivi ingia kwenye my computer bonya hardisc etc etc?????
Fungua browser yako halafu copy and paste C:\windows\system32\drivers\etc\hosts kwenye address bar. Select all halafu copy and paste hapa JF ili tuone hosts file yako ikoje na kuona kama kuna tatizo lolote.
 
Fungua browser yako halafu copy and paste C:\windows\system32\drivers\etc\hosts kwenye address bar. Select all halafu copy and paste hapa JF ili tuone hosts file yako ikoje na kuona kama kuna tatizo lolote.

chamoto ahsante baada ya kufungua host file niliomba msaada online na nili download software moja ya ms inayoitwa windows fix ambayo ili repair host file shukrani
 
Back
Top Bottom