Msaada: Null IMEI, Unknown Baseband version and No Servie in Galaxy Note 3 Exynos - N900

Strictly Syrup

JF-Expert Member
Aug 4, 2013
1,227
1,818
Wakuu, Nina Galaxy Note 3 ambayo ina matatizo matatu;
  1. Unknown Baseband Version
  2. Null IMEI, nimerestore IMEI lakini haikufanikiwa kurejea
  3. Pia hii simu haikamati mtandao kabisa.
Nimeona nikilileta hapa, kuna watu wenye experience na matatizo mbalimbali hivyo tunaweza kubadilishana ideas na kujifunza mengi. Natanguliza shukrani.



UPDATE: Naamini tatizo la "Unknown Baseband" n "No Service" ni la hardware na siyo kwenye software, kwa kuwa inashauriwa kufanya reinstallation ya firmware kunasaidia kusolve hilo tatizo kwa kuwa kwa sasa kuna files za kuflash radio zipo hapo hapo kwenye firmware pia nimepewa file la modem lililofanyiwa extraction kutoka kwenye firmware yako lakini bado haijafanikiwa kukamata mtandao.

ok27ep.jpg
 
Wakuu, Nina Galaxy Note 3 ambayo ina matatizo matatu;
  1. Unknown Baseband Version
  2. Null IMEI, nimerestore IMEI lakini haikufanikiwa kurejea
  3. Pia hii simu haikamati mtandao kabisa.
Nimeona nikilileta hapa, kuna watu wenye experience na matatizo mbalimbali hivyo tunaweza kubadilishana ideas na kujifunza mengi. Natanguliza shukrani.



UPDATE: Naamini tatizo la "Unknown Baseband" n "No Service" ni la hardware na siyo kwenye software, kwa kuwa inashauriwa kufanya reinstallation ya firmware kunasaidia kusolve hilo tatizo kwa kuwa kwa sasa kuna files za kuflash radio zipo hapo hapo kwenye firmware pia nimepewa file la modem lililofanyiwa extraction kutoka kwenye firmware yako lakini bado haijafanikiwa kukamata mtandao.

ok27ep.jpg



Huo msala sio kitoto.

kwanza unatakiwa uroot simu yako hiyo.

kisha uback up na urestore efs folder...zipo software kibao za kufanya hayo..

finally utaflash Tar itayokua as results ya kurestore ambayo ina contain kila kitu yani imei na baseband kiujumla.

nipm nikupe link ya files za kurestore efs kama ukikosa.
 
u have only 2 options,
1.Tafuta radio/modem file kutoka xda forum then flash via recovery, (hoping u already have custom recovey)
2.Download and flash original firmware from SamMobile

i prefer the second option
 
hio issue tushaizungumzia sana hapa haina solution permanent zaidi ya kutafuta mtu mwenye box akurekebishie,

kwa s3 niliwahi kusolve kwa kuflash modem (i9300) ila simu nyengine tofauti na hio ilikuwa ikizingua.

na tatizo hilo husababishwa na ku corrupt efs.

kama unataka solution ya upesi mtafute fundi anaeflash simu na box faster tu kazi inaisha ila kama unataka iwe changamoto endelea kufuata ushauri wa wengine unaweza fanikiwa.

by the way, si tatizo la hardware, ni tatizo la software asije kudanganya mtu akaifungua simu
 
Huo msala sio kitoto.

kwanza unatakiwa uroot simu yako hiyo.

kisha uback up na urestore efs folder...zipo software kibao za kufanya hayo..

finally utaflash Tar itayokua as results ya kurestore ambayo ina contain kila kitu yani imei na baseband kiujumla.

nipm nikupe link ya files za kurestore efs kama ukikosa.

Shukrani sana ndugu kwa msaada. Nlifanya hivyo (rooting) kipindi cha nyuma kisha nikarestore efs folder, baada ya hapo sikufanya step hiyo ya mwisho that's why sikufanikiwa. Nitaku-contact kama nisipofanikiwa. Shukrani sana kiongozi.
 
u have only 2 options,
1.Tafuta radio/modem file kutoka xda forum then flash via recovery, (hoping u already have custom recovey)
2.Download and flash original firmware from SamMobile

i prefer the second option
Hiyo nilishajaribu sana kipindi cha nyuma kidogo, lakini haikufanikiwa. Simu ilikuwa na root access, nikaflash Clockworkmod Rec. na finally niliflash hizo radio files kutoka xda. Hii haikufanikiwa.

NImeshaflash sana hiyo Stock firmware lakini sikupata mafanikio.
 
hio issue tushaizungumzia sana hapa haina solution permanent zaidi ya kutafuta mtu mwenye box akurekebishie,

kwa s3 niliwahi kusolve kwa kuflash modem (i9300) ila simu nyengine tofauti na hio ilikuwa ikizingua.

na tatizo hilo husababishwa na ku corrupt efs.

kama unataka solution ya upesi mtafute fundi anaeflash simu na box faster tu kazi inaisha ila kama unataka iwe changamoto endelea kufuata ushauri wa wengine unaweza fanikiwa.

by the way, si tatizo la hardware, ni tatizo la software asije kudanganya mtu akaifungua simu
Nitatembelea kesho kwa mafundi nione kama kuna attemp yoyote ya kusolve. Naamini mkuu ushauri wako utanisaidia,

Mungu akubariki.
 
Shukrani sana ndugu kwa msaada. Nlifanya hivyo (rooting) kipindi cha nyuma kisha nikarestore efs folder, baada ya hapo sikufanya step hiyo ya mwisho that's why sikufanikiwa. Nitaku-contact kama nisipofanikiwa. Shukrani sana kiongozi.

step ya mwisho ndo inasolve tatizo na kaz ndo inakwisha...
gud lucky.
 
ukiwa recovery mode .format firmware. format modem, format kila kitu, pia waweza jaribu stock firmware zingine kutoka nchi mbalimbali kulingana na sammobile...ata upeleke kwa fundi mgani hakuna miujiza hali ni iyo iyo.hakikisha umepata stock firmware kutoka sammobile na model namba hujakosea, good luck
 
Back
Top Bottom